Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Hiyo ni Private Public Partnership (PPP) ambapo muwekezaji anajenga kitu mfano nyumba ama barabara. Baada ya kujenga anaendesha kwa muda waliokubaliana mfano miaka 20 na anakuwa anatoza fee ili kurudisha pesa zake alizowekeza. Muda ukiisha anarudisha serikakini ili serikali imiliki hicho alichokijenga. Mfano mzuri ni Mlimani City Mall.LIBOR=?
Mkuu,samahani ningependa unisaidie kuelewa!
B.O.T=?
Waweza Kuilezea Vizuri!