office ina vyumba vitatu ipo kwenye mazingiraa mazuri na salama ulinzi upo wa kutosha ipo karibu na City style Hotel hapa Dar es salam na pia karibu na kituo cha daladala cha Mawasiliano. Kwa mawasiliano zaid piga no 0712134566
Yaan mtoa post hii ni kilazaa cjui nmfanyaje?? kesha tafunaa kaingia bila kukwamaa et anauliza swarii?? khaaa!! eboo!!huyo ni mkeo au maana cjajuaa had tumbo linaumaa alafu unaleta huku nahisi ukapimwe akili mkuu
Mwana mpumbavu ni mzigo kwa mamaye!Hiv wewe umetumia nini kufikiria?? najua umetumia makamasi si bure! Watu walikuwa wanaomba Mung amweke yule aliyekusudia! Nyambafuu mkubwaa! Kamwe huwezi kumuingilia Mung! Misingi ikiharibika mwenye haki atasimama wapi???
Mkuu kumbe we ni mrohoo duh! we mgeni humu na ugeni wako huo huo unatafuta beibe? wenzio huwa wana nyuti Kwanzaa wanasoma mazingiraa!! oky tarajia kupataa maumivu ya moyo na ya mizingaa all the best!
Weka vigezoo vyako na wewe mkuu!! wapo wengii humu utashindwaa mwenyewe kuchaguaa! pia mkuu unafanya wapi kazi hilo ni la muhimu Sana tegemea kuswalikwa swari hilo mm nimewasaidiaa tuu
Mm mwenyewe nilifikiriaa hivyo uchaguzi ukiishaa atapatikanaa! Kazi ya uandishi wa habari huwa ni ya uadui Sana na chama kilichopo madalakani.
Ukifuataa sheriaa zake lazima hayo yatakukuta lakin ukitanguliza tamaaa ya pesa huwez kuwa adui utakuwa unafichaa mauchafuu yao!
Hahahaha nacheka kwa hasiraa na kwa kukudharau mkuu! sikutegemea kama ungecomment pumbaa aisee!! hao unao watetea kama ni kweli hawana fujo kwa nn mwanzo waliyakataa matokeo na ikawalazimu kupoteza pesaa nyingi kurudia uchaguzi?? unajifanyaa wewe c mnafiki?? Msingi ikiharibikaa mwenye haki...
kumbe na wewe mkuu umeona enh!!! ni kizuri kile kipindi sema wamekiweka usiku Sanaaa inabid ITV wajipange wakiweke muda muafaka wa kila mtu aweze kukitaza
Mung akupatie sawa na hitji lako la moyo .Utafuteni kwanza ufalme wa Mung hivi vyote mtapatiwa. Tafuta uso wa Mung yeye ndo atakupa mwenye hofu ya Mung! Humu ndan weng n wanafiki!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.