Recent content by Meku Meku

  1. M

    Aika Masawe: Jasusi la idara nyeti linaloivuruga MCL

    Hali siyo shwari kivipi wakati gazeti la Mwananchi tunaliona mtaani kila siku linatoka?
  2. M

    Profesa Mwandosya ndani ya UDOM anasikiliza matatizo ya wanafunzi

    Ameingia Udom wanafunzi wanamtwanga maswali ya kila namna
  3. M

    David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

    manyerere uwe baba wa ubatizo hahaaaa
  4. M

    Mwenyekiti wa bunge amtaka Murtaza Mangungo kwenda kubadilisha mavazi aliyovaa

    hakuna mbunge anayeitwa hilo jina acha kukurupuka
  5. M

    Samuel Sitta: Kalamu za waandishi zinaandika kwa wino wa tindikali

    hajui gharama ya kutukana waandishi, amuulize mapuri na dr fennela mukandara watamsimulia
  6. M

    Lowassa, mazoezi ya picha ya nini na unamuonesha nani?

    mpige akiwa anakimbia mwinyi uiwasilishe
  7. M

    Mh. Elibarick Kingu - DC Igunga

    very stupid
  8. M

    Nape: CHADEMA ndio waliomtuma Lissu kumtukana Mwl.Nyerere

    huyu jamaa huwa ni kiazi kweli
  9. M

    Kenya Airways ni Bogus!!!

    acha uongo, mbona dr lwaitama alishushwa kwenye precision air alipokataa kuzungumza kiingereza, hiyo ndege nayo ni KQ?
  10. M

    Deo Munishi na John Mallya wa CHADEMA

    john mally ni mchaga na si mmasai haya edit nawewe
  11. M

    JK afunguka kuhusu kustaafu kwake

    Pia amesema haya nanukuu, 'kwamba habari za kuchochea majeshi kufanya mapinduzi, habari za kuchochea vijana kuleta vurugu hatazivumilia, na kwamba chombo cha habari kitakachojielekeza kwenye habari za namna hiyo kitafungiwa. "Wakiandika Rais Kikwete nchi imemshinda hainipi tabu, kwa kuwa najua...
  12. M

    Hii hapa nyumba pekee ya Askofu Kakobe

    :smile-big::smile-big::smile-big: wewe ni kakobe au nani wake?
  13. M

    Tujikumbushe Nyimbo kali za Bongo Fleva Zilizotamba zamani

    Kuna ngoma kali kama Tunasonga, Dira, Mstari wa Mbele by Kikosi cha Mizinga, nyingine kali ni Bamiza by Raf Nelly RIP
Back
Top Bottom