chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
Mtoto atakayezaliwa aitwe Escrow bila kujali ni wa kike au wa kiume maana hiyo akaunti haikuwa na ubaguzi wa jinsi.
Naona Manyerere umeamua kutoa ya moyoni vp kamgao hakakukupitia na ww ni mashuhuri sana kwa bahasha za mafisadi