Kwa kili yako ..na maelezo ya kijinga ni km unatuambia kwa vile mabenki kuna wizi basi kwa vile kuna makundi ya watu hawakosekani ktk mabenk then ni wezi....?Sasa utatuambia wafanyakazi wa benk ni wezi,wateja wenye kuingiza hela na hivyo kutumia huduma za bank ni wezi....palipo na hela kuna wezi wa kila namna..rangi,kabila etc.....na ndipo watu wanapenda fanyia kazi zao ili wawe na share kubwa ya huo mzunguko wa hela..wachaga hela inawapenda kwanini wasiwepeo wanapopendwa..?
na ujambazi unawapenda pia