utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Huyu ni DC na kada wa CCM ambaye pia katabia ka ufisadi amekuwa nacho tangu akiwa chuoni pale mzumbe nakumbuka alivyokula pesa za serikali ya wanafunzi (MUSO) akiwa kama Vice President. Jamaa huyu ni hatari sana kwenye issue ya pesa. Kuwa kada wa CCM naona yupo uwanja wa nyumbani kabisa.
umetumwa na slaa uje umchafue kwa sababu ya ukada wake wa ccm???