Mh. Elibarick Kingu - DC Igunga

Mh. Elibarick Kingu - DC Igunga

Huyu ni DC na kada wa CCM ambaye pia katabia ka ufisadi amekuwa nacho tangu akiwa chuoni pale mzumbe nakumbuka alivyokula pesa za serikali ya wanafunzi (MUSO) akiwa kama Vice President. Jamaa huyu ni hatari sana kwenye issue ya pesa. Kuwa kada wa CCM naona yupo uwanja wa nyumbani kabisa.

umetumwa na slaa uje umchafue kwa sababu ya ukada wake wa ccm???
 
Weka ushahidi, ikiwemo vielelezo sio unabweka kama mbwa aliyezaa

hakika mkuu, ifike wakati jf iheshimike, sio mtu anakuja na majungu tu hapa kisa anamchukia flani.

cc.
mods wote ...kwa hatua zenu
 
umetumwa na slaa uje umchafue kwa sababu ya ukada wake wa ccm???

Kweli mkuu wangu Utaifakwanza hawa watoto wa chagadema ni wana wivu Kama watoto wa kike vile!

Wakikua lazima watakuwa wachawi kabisa! Wivu tu basi atawaoa ili uwe mke mdogo wake maana duu unaumia kweli
 
Kingu anapaswa kukuoa wewe kwani unamawivu hadi yanamwagika mtoto wa kile!

Nenda Igunga utakutana nae nitamwambia wee unatoa sana 713! Atakupokea kijana wake upate mini kabang bora kabisa!
 
Yaani umenikera sana kinyago we baadala ya kuongelea key issues unaongelea majungu? Yaani mods chukueni hatua haraka!

Mods huu ni uzushi na upashkuna!
 
kingu ni ngumi jiwe anawakimbiza ndio mana mnamtungia uongo
Ukiambiwa ndio alikuwa chanzo cha ule mgogolo wa ardhi kule Igunga katika kijiji cha Isakamaliwa kilichosababisha vifo zaidi ya 20 baada ya kujimilikisha eneo kubwa la ardhi nalo utalikataa.
 
Kingu wee ni mfano bora wa kuigwa

Mfano wa kuigwa kwa kutoweza kuonyesha chochote alichofanya kule Igunga na pia kuwa DC wa kwanza kule Igunga ambae aliitisha mikutano 3 kwa ajili ya kuongea na wananchi wake WAKAMGOMEA.
 
Ukiambiwa ndio alikuwa chanzo cha ule mgogolo wa ardhi kule Igunga katika kijiji cha Isakamaliwa kilichosababisha vifo zaidi ya 20 baada ya kujimilikisha eneo kubwa la ardhi nalo utalikataa.

Kama umeumia kunywa Sumu ujiue ndugu yangu! Kwani Isakamaliwa walivamiwa na Kingu? Unajua chanzo cha Ule mgogoro? Au unaandika tu mtoto kiume?

Fanya tafiti usikurupuke tu kijana! Hapa ni JF siyo FB
 
Imeandikwa " ambae hana dhambi awe wa kwanza kumpiga huyu mama mawe". Back to the drawing board, watanzania tuache fitna na husuda eti kwasababu tu yeye kapata,tuletee ushahidi hapa ama sivyo kaa kimya milele!
 
Huyu ni DC na kada wa CCM ambaye pia katabia ka ufisadi amekuwa nacho tangu akiwa chuoni pale mzumbe nakumbuka alivyokula pesa za serikali ya wanafunzi (MUSO) akiwa kama Vice President. Jamaa huyu ni hatari sana kwenye issue ya pesa. Kuwa kada wa CCM naona yupo uwanja wa nyumbani kabisa.


Ah kumbe ni mtu....mi nilifikir ni yule Kingu katuni wa gazeti la Majira kaja na stori/hadithi mpya?
 
huu utaalam wa propaganda umemtokea lema bungeni leo, ametumia muda mwiiingi kumchafua ole medeye tangu akiwa waziri kumbe ni baada ya kugundua kuwa medeye anagombea ubunge arusha mjini mwakani...haya mleta mada unagombea jimbo moja na kingu???

Arusha mjini huyu bwana Medeye hapati hata kura 2000 za mtaji.
Tuulize sisi wenyeji tukufahamishe.
Kumng'oa Lema hapa yahitajika ccm wahonge milioni 1 kwa kila mpiga kura na BADO HAWATAPATA KURA.
 
hivi vyeo vya ma dc na ms rc ni upuudhi mtupu
hawana kazi yeyote wanazofanya zaidi ya kuharibu tu pesa za serikali.
hivi vyeo vifutwe. mimi binafsi siwataki sioni umuhimuwao
 
Kama umeumia kunywa Sumu ujiue ndugu yangu! Kwani Isakamaliwa walivamiwa na Kingu? Unajua chanzo cha Ule mgogoro? Au unaandika tu mtoto kiume?

Fanya tafiti usikurupuke tu kijana! Hapa ni JF siyo FB

eti ni kweli kwamba unatumia ID'S chungu mzima ?
 
kingu ni fisadi sana hata hapo igunga kafungua mradi wake wa kilimo cha umwagiliaji kiko kijiji cha isakamaliwa na amechukua trecta toka serikalini kwa kuwadanganya kuwa vijana wa igunga wameungana na kufungua mrad ule kumbe ni yeye na ile trecta tayar ni ya kwake na hakuna kijana wa igunga aliyehusishwa. ki ukwel hii nchi ni bora ukachukua chako mapema
 
Back
Top Bottom