King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
KQ ilikua inapeleka ndege chovu Entebbe kama hizi inazoleta Dar. Musevini alipopelekewa ripoti alianzisha Air Uganda. Kagame nae hivyo hivyo. Wote hawa walichukua maamuzi tena sio magumu. sasa hv wako hewani. Tukubali serikali ya ccm haina maamuzi
Jamani mbona atcl yetu ipo? Sema tu inachechemea.
Ccm oyeee