Nakubaliana na wew mkuu, bilashaka kwa organisation za hapa Tz kutumia linux Os bado sana mana ving wanafnya kwa sharing n wengi wa wafanyakazi hawako educated sana na linux, itawasumbua
Habari zenu wakuu! Naomba kutengeneza hii thread maalum kwa ajil ya hii operating system, mim nimeanza kuitumia siku chache zilizopita lakini nilichokuja kuipendea mbali na kuwepo kwa tools nyingi za penetrations testing (hacking), lakini intrested things ni kuwa inakuja na prog nying built in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.