inatusaidia nini kama anaweka mifumo lakini anashindwa kufanyia kazi matunda ya mifumo husika? Nyie ndio mnafurahia wingi wa shule bila kusikitikia wahitimu mbumbumbu... Kwa taarifa yako ni bure kuoga kwa nje wakati rohoni unajua u-mchafu. Apewe sifa kama anayoyaanzisha yanabadilisha maisha ya...
huyu jamaa kajidharirisha sana hata kama hana elimu asingefanya utumbo wote huo,, kweli hawa ndio vijana wa CCM walioandaliwa vema kuongoza watanzania? mimi ningeambiwa nisingeamini ila kwa kuwa nimeona basi naamini kuwa mfumo wa kuwapata wabunge sio sahihi maana wengine hata hawafai kuwa baba...
amenikera kwa sababu kama chombo huru cha habari mnalala ili atuhabarishe nani? eti wametoka wakaweka mizengwe duh tanzania news coverage bado kabisa... TBC hao wala siwahesabu maana wao ni idara ndani ya wizara na ni wasemaji wa serikali ni UMMA.. ebu jifunzeni kwa wenzetu kenya wanavyoreport...
Kumpa mkurugenzi wa halmashauri ndo awe msimamizi mkuu wa shughuli za uchaguzi ni ukiritimba maana yeye ni mwakilishi wa serikali inayoundwa na chama fulani (tawala) so sishangai kama kashangilia maana ni sawa na kesi ya nyani kuiba mahindi unampelekea ngedere ndo awe hakimu unategemea nini...
Hongera zenu mlioshinda,... japo msome alama za nyakati maana pamoja na kupeleka viongozi wanao/waliokuwa wanaheshimika kijamii kama rais wastaafu na mawaziri bado ushindi ni mwembamba na sehemu kubwa ya jimbo ni vijiji ambapo hata kusoma na kuandika ni taabu, maali ambapo siasa za upinzani ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.