babykailama
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 251
- 243
Nimesikia ITV wakanza kuuliza maswali elekezi mfano "hivi kweli matokeo yatatoka leo au tusubiri hadi kesho"
Mzee Masako another failure maana mlianza asubuhi kwa kusema hatutatoka hapa mpaka kieleweke. Yaani mmechoka na pia mjue ninyi mmekuwa sehemu ya vurugu. Mwana habari yuko chumbani kwenye kiyoyozi anaamua kwenda kulala je vipi walioko field???
Nimesikitika sana maana ninyi mngekuwa chombo cha maana hata usiku wote kushauri watu watulie! Nimesikitika sana; Yaani kuambia kuna mabomu ya machozi ninyi mnajitoa ?? Ahaaa nimepata mshtuko sana nanyi wewe Masako na dada yangu.
Yaani mnachokitangaza ni kama maigizo??
Je mnajua hasira za wananchi mnaposeema matokeo yahairishwe mpaka kesho? Nani kawambia kuwa Jeshi la Polisi limeshindwa kudhibiti hali?
Aha Fatuma dada yangu why I trusted you so much !! Rais juzi kaonya na kukumbusha Role ya wanahabari katika kuchochea vurugu! Ebu tafuteni kahawa na chai msilale na ninawaamuru kwa jina la umoja msitoke hapo mlipo tupeni habari na msianze kuwa biased basi. Mfawidi wenu awalipe posho ya kuwa usiku mzima kituoni hii ni kawaida.
Mzee Masako another failure maana mlianza asubuhi kwa kusema hatutatoka hapa mpaka kieleweke. Yaani mmechoka na pia mjue ninyi mmekuwa sehemu ya vurugu. Mwana habari yuko chumbani kwenye kiyoyozi anaamua kwenda kulala je vipi walioko field???
Nimesikitika sana maana ninyi mngekuwa chombo cha maana hata usiku wote kushauri watu watulie! Nimesikitika sana; Yaani kuambia kuna mabomu ya machozi ninyi mnajitoa ?? Ahaaa nimepata mshtuko sana nanyi wewe Masako na dada yangu.
Yaani mnachokitangaza ni kama maigizo??
Je mnajua hasira za wananchi mnaposeema matokeo yahairishwe mpaka kesho? Nani kawambia kuwa Jeshi la Polisi limeshindwa kudhibiti hali?
Aha Fatuma dada yangu why I trusted you so much !! Rais juzi kaonya na kukumbusha Role ya wanahabari katika kuchochea vurugu! Ebu tafuteni kahawa na chai msilale na ninawaamuru kwa jina la umoja msitoke hapo mlipo tupeni habari na msianze kuwa biased basi. Mfawidi wenu awalipe posho ya kuwa usiku mzima kituoni hii ni kawaida.