<br />Hapa lazma ukashike chaki. Chuo cha kata.
Wasalam wana jamvini, natumai mko bukheri wa afya.
Mdogo wenu nimefanikiwa kupata nafasi kusomea degree ya population and devolopment planning, (2011). Kwa wale ambao wameshasoma au kukifahamu vizuri, naomba kunipa ushauri na maono yenu kwa mdogo wenu wakati nitapojiunga rasmi.
Nawasilisha.
<br /><br />kijana jiandae kukamatwa maana inaonekana unawasiwasi sana....! usipojipanga kweli itakuwa devolopment badala ya development.