Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Updates:
WanaJF tayari offically CDM wameshachukua jimbo, nashauri wanasheria watujuze ni charges gani ambayo Lusinde anaweza kuchukuliwa ili kila mtu ajue?
Nina uchungu sana na Lusinde wakuu.
WanaJF kama hali ikiwa hivi, ni wazi ushindi upo mlangoni mwa CDM. Anyway hiyo ndiyo siasa na asiyekubali kushindwa si mshindani. Lakini napenda niwakumbushe kitu kimoja kuwa kama kuna mtu aliyedhalilisha viongozi wa CDM hasa wa ngazi za juu, kati na chini basi ni mbunge wa Mtera Mh. L. Lusinde.
Napenda kutoa wito, huyu jamaa asiachwe hivi hivi. Ashungulikiwe ipasavyo kwa kuburuzwa mahakamani ili iwe fundisho kwa wabunge wasio na stara katika kampeni.
Hivyo wanasheria wa CDM, wanaharakati mbali mbali, na makundi yote ya kijamii kwa hili la Lusinde tusimfumbie macho wakuu.
Kwa kweli ametukana matusi mbele ya watoto, watu wazima ambayo ni kinyume na maadili ya uchaguzi, mtanzania n,k
Najua mpo katika hekaheka za kujua nani mshindi lakini kitendawili kipo tayari kutegeuliwa.
Nawakilisha.
WanaJF tayari offically CDM wameshachukua jimbo, nashauri wanasheria watujuze ni charges gani ambayo Lusinde anaweza kuchukuliwa ili kila mtu ajue?
Nina uchungu sana na Lusinde wakuu.
WanaJF kama hali ikiwa hivi, ni wazi ushindi upo mlangoni mwa CDM. Anyway hiyo ndiyo siasa na asiyekubali kushindwa si mshindani. Lakini napenda niwakumbushe kitu kimoja kuwa kama kuna mtu aliyedhalilisha viongozi wa CDM hasa wa ngazi za juu, kati na chini basi ni mbunge wa Mtera Mh. L. Lusinde.
Napenda kutoa wito, huyu jamaa asiachwe hivi hivi. Ashungulikiwe ipasavyo kwa kuburuzwa mahakamani ili iwe fundisho kwa wabunge wasio na stara katika kampeni.
Hivyo wanasheria wa CDM, wanaharakati mbali mbali, na makundi yote ya kijamii kwa hili la Lusinde tusimfumbie macho wakuu.
Kwa kweli ametukana matusi mbele ya watoto, watu wazima ambayo ni kinyume na maadili ya uchaguzi, mtanzania n,k
Najua mpo katika hekaheka za kujua nani mshindi lakini kitendawili kipo tayari kutegeuliwa.
Nawakilisha.