Kichwa cha habari kinajieleza
[emoji736] Iwe na uwezo wa 4G
[emoji736] Ikiwa unlocked itakua vizuri zaidi
[emoji736] Napatikana Mwanza
Nitajie model ya hiyo modem bei na speed yake tuwasiliane.
Ninatatizo kama hilo mkuu nimepakua firmware inayoendana na simu yangu lakini kuna sehemu ikifika ina fail inaandika "some symlinks failed" naomba msaada hapo mkuu
Cc churaxzbt8
Hiyo voucher Number ni siri yako haukutakiwa kumuonyesha mtu wala kuiweka humu kwa sababu mtu yoyote anaweza kuitumia,inabidi uitumie haraka kabla hajaitumia mtu mwingine,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.