Habari ndugu,
Najaribu kumfanya application ya chuo kupitia TCU, nmeshalipia 50,000 kwa tigo pesa na wanenitumia transaction ID tayari. Tatizo nalokutanalo nikiingia kujisajili TCU wanadai transaction ID ya M-pesa hakuna option ya tigo pesa kwenye registration process,tafadhali mwenye kujua naomba kuelekezwa kama kuna link nyingine ya kujisajili.
Najaribu kumfanya application ya chuo kupitia TCU, nmeshalipia 50,000 kwa tigo pesa na wanenitumia transaction ID tayari. Tatizo nalokutanalo nikiingia kujisajili TCU wanadai transaction ID ya M-pesa hakuna option ya tigo pesa kwenye registration process,tafadhali mwenye kujua naomba kuelekezwa kama kuna link nyingine ya kujisajili.