Voda na Halotel mtuonee huruma

hakiyako

Senior Member
Aug 24, 2014
162
67
wandugu, nilikuwa mbeya, wiki nzima kila nikinunua kifurushi cha internet (kutumia kwenye computer sio simu), hela yangu inaenda bure, network iko chini mno na hela inaisha tu bure. ninaanza na modem ya voda, inasumbua sana iko chini sana network, nikija halotel ambayo wameniuzia garama kuliko hata hizo nyingine, nayo iko chini sana. ninyi wafanyakazi wa voda na halotel tafadhali, kuweni na huruma, mmetuuzia hizi modem zenu za nii kama network ndio hii:

wakuu kwa wale walioko tigo, zantel na airtel, mtusiadiie, hasa wale wanaoishi mbeya, mtandao ukoje, manake nahisi hizi modem mbili nitazitupa.
 
wandugu, nilikuwa mbeya, wiki nzima kila nikinunua kifurushi cha internet (kutumia kwenye computer sio simu), hela yangu inaenda bure, network iko chini mno na hela inaisha tu bure. ninaanza na modem ya voda, inasumbua sana iko chini sana network, nikija halotel ambayo wameniuzia garama kuliko hata hizo nyingine, nayo iko chini sana. ninyi wafanyakazi wa voda na halotel tafadhali, kuweni na huruma, mmetuuzia hizi modem zenu za nii kama network ndio hii:

wakuu kwa wale walioko tigo, zantel na airtel, mtusiadiie, hasa wale wanaoishi mbeya, mtandao ukoje, manake nahisi hizi modem mbili nitazitupa.
Huko Mbeya tunatumia Zantel. Sijui kwa kipindi hiki. 2010 Na kurudi chini Zantel ndio ilikua poa, hio mingine hata kutuma mail ilikua issue.
 
zantel nao vocha sasa, huku mkoani kupata vocha ni mtihani ili uingize ununue kifurushi.
 
sure hakiyako, niko mbeya two weeks now, kuna matatizo VODACOM internet, simu ina roam muda wote, internet iko very slow. yaani tabu tupu

najuuta aisee!
 
wandugu, nilikuwa mbeya, wiki nzima kila nikinunua kifurushi cha internet (kutumia kwenye computer sio simu), hela yangu inaenda bure, network iko chini mno na hela inaisha tu bure. ninaanza na modem ya voda, inasumbua sana iko chini sana network, nikija halotel ambayo wameniuzia garama kuliko hata hizo nyingine, nayo iko chini sana. ninyi wafanyakazi wa voda na halotel tafadhali, kuweni na huruma, mmetuuzia hizi modem zenu za nii kama network ndio hii:

wakuu kwa wale walioko tigo, zantel na airtel, mtusiadiie, hasa wale wanaoishi mbeya, mtandao ukoje, manake nahisi hizi modem mbili nitazitupa.
Nakushauri modem ya voda usiitupe tu izike kabisa maana ukiitupa itaokotwa. Halotel wanatakiwa wrekebishe bei za vifurushi wao ni afadhali kuliko wezi tigo
 
Nakushauri modem ya voda usiitupe tu izike kabisa maana ukiitupa itaokotwa. Halotel wanatakiwa wrekebishe bei za vifurushi wao ni afadhali kuliko wezi tigo
Hahahaha eti aizike kabisa. Ila ni bora kuwa na universal modem kwa hali ya mitandao ya nyumbani.
 
Wote tu wasumbufu nakumbuka nilinunua line ya airtel nikatumia internet kwa siku tano tu wakanifungia nisipige ile namba 100 hakuna net pia wameizima nimewapigia kwa simu nyingine zaidi ya Mara tano Mara ya mwisho wamenijibu wa naona kila kipo sawa ila hawajui kwanini line yangu haisomi data nikiweka line nyingine ya airtel inafanya kazi fresh kabisa
 
Wote tu wasumbufu nakumbuka nilinunua line ya airtel nikatumia internet kwa siku tano tu wakanifungia nisipige ile namba 100 hakuna net pia wameizima nimewapigia kwa simu nyingine zaidi ya Mara tano Mara ya mwisho wamenijibu wa naona kila kipo sawa ila hawajui kwanini line yangu haisomi data nikiweka line nyingine ya airtel inafanya kazi fresh kabisa
Basi utumie tu hiyo nyingine.
 
wandugu, nilikuwa mbeya, wiki nzima kila nikinunua kifurushi cha internet (kutumia kwenye computer sio simu), hela yangu inaenda bure, network iko chini mno na hela inaisha tu bure. ninaanza na modem ya voda, inasumbua sana iko chini sana network, nikija halotel ambayo wameniuzia garama kuliko hata hizo nyingine, nayo iko chini sana. ninyi wafanyakazi wa voda na halotel tafadhali, kuweni na huruma, mmetuuzia hizi modem zenu za nii kama network ndio hii:

wakuu kwa wale walioko tigo, zantel na airtel, mtusiadiie, hasa wale wanaoishi mbeya, mtandao ukoje, manake nahisi hizi modem mbili nitazitupa.
Pole sana
 
kuna mtandao hapo umeuonea bure sijui upo mbeya gani mkuu...
 
Back
Top Bottom