hakiyako
Senior Member
- Aug 24, 2014
- 162
- 67
wandugu, nilikuwa mbeya, wiki nzima kila nikinunua kifurushi cha internet (kutumia kwenye computer sio simu), hela yangu inaenda bure, network iko chini mno na hela inaisha tu bure. ninaanza na modem ya voda, inasumbua sana iko chini sana network, nikija halotel ambayo wameniuzia garama kuliko hata hizo nyingine, nayo iko chini sana. ninyi wafanyakazi wa voda na halotel tafadhali, kuweni na huruma, mmetuuzia hizi modem zenu za nii kama network ndio hii:
wakuu kwa wale walioko tigo, zantel na airtel, mtusiadiie, hasa wale wanaoishi mbeya, mtandao ukoje, manake nahisi hizi modem mbili nitazitupa.
wakuu kwa wale walioko tigo, zantel na airtel, mtusiadiie, hasa wale wanaoishi mbeya, mtandao ukoje, manake nahisi hizi modem mbili nitazitupa.