We akili huna hivi mtu anaweza kujirekodi upuuzi ule ili iweje mi cna chama nilivyosikiliza tu audio nikajua fake.....yaani mm nitongoze mwanamke halafu nijirekodi ni mambumbu tu ndio watakaomini
Zinapatikana kwenye shop zao nenda mliman city na kuna vijana wengi wanatembeza hilo bando ni hatari mi nalipaga buku kwa 10gb naseti torrent zangu asubui mzigo wote Kenosha ...speed yake ni hatar...mkuu ni 4g hio na pia 3g yao pia ni shida wao wanatumia fiber
TTCL kwa kweli mmenifurahisha na bando lenu la toboa hatulali tunakesha kwenye torrents. Yaani buku kwa 10GB kuanzia saa 6 ucku kwa kweli ni raha tupu.
Ombi langu kwenu harakisheni kusambaza mtandao nchi nzima soko la mobile bado liko wazi kama mimi sijaweka bando mtandao mwingine nna mwezi...
Ndio wameanza wapeni mda kuweka BTS ni guarana hata hao wengine walianza mdogo mdogo ukiondoa halotel ......ttcl wanatumia hela wanazokusanya kwenye biashara ya fixed network kufanya investment kwenye mobile ila mtandao wao kwa kweli uko vzur balaa mwanza huku mitandao mingine nmetupa kule mana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.