Swali kwa kampuni ya simu TTCL

hp4510

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,435
6,283
Mambo vipi wana jf...
Nimeamua kuwa mzalendo kwa kusapot kampuni mama ya simu TTCL...

Nataka kutumia lain zao za simu kwa data na voice
Sasa swali langu kwao ni kwamba waniambie niamie mtaa gani hapa dar es salaam ambako naweza kuenjoy 4G yao vizuri....

Kwa sasa naishi goba mwisho na cha ajabu nimeweka line yao hata network bar moja hakuna...
Nikipanda juu ya nyumba kinaongezeka kimoja then nikishuka kinakata.

Niko tayari kuingia gharama za kuhama endapo wataniambia nikiamia mtaa flan au sehemu flan huduma zao nitazipata vizuri

Siwezi kuuliza hili swali kwa mitandao mingine kwa sababu kila mtu anajua 4g zao zinavyopatikana sehemu kubwa dar es salaam

Nawasilisha
 
Maeneo yote ya Ubungo buguruni kimara mbezi manzese mabibo kigogo kko temeke keko mbagala kurasini magomeni kinondoni mwenge tegeta mtandao uko poa tuuu.
Juzi nilikuwa nakula pasaka kitunda nilikutana na scenario kama iyo mkuu
 
Maeneo yote ya Ubungo buguruni kimara mbezi manzese mabibo kigogo kko temeke keko mbagala kurasini magomeni kinondoni mwenge tegeta mtandao uko poa tuuu.
Juzi nilikuwa nakula pasaka kitunda nilikutana na scenario kama iyo mkuu
Sasa kwa akili ya kibiashara nilitegemea wangefunga strong booster hapa dar es salaam kwamba hata ukiwa chini ya maji 4g unaipata fresh mbona mitandao iliyokuja juzi tu wako vizuri kuliko wao wa miaka 50?
 
Ndio wameanza wapeni mda kuweka BTS ni guarana hata hao wengine walianza mdogo mdogo ukiondoa halotel ......ttcl wanatumia hela wanazokusanya kwenye biashara ya fixed network kufanya investment kwenye mobile ila mtandao wao kwa kweli uko vzur balaa mwanza huku mitandao mingine nmetupa kule mana ni wizi mtupu..ttcl lile bando letu la toboa kuanzia saa sita ucku 10GB kwa buku mnatufanya hatulali ucku kucha ni kudownload movie....tuwape mda
 
Sasa kwa akili ya kibiashara nilitegemea wangefunga strong booster hapa dar es salaam kwamba hata ukiwa chini ya maji 4g unaipata fresh mbona mitandao iliyokuja juzi tu wako vizuri kuliko wao wa miaka 50?
Wape mda kaka ...huduma zao ziko vzur ndio wameanza kujitanua
 
Mambo vipi wana jf...
Nimeamua kuwa mzalendo kwa kusapot kampuni mama ya simu TTCL...

Nataka kutumia lain zao za simu kwa data na voice
Sasa swali langu kwao ni kwamba waniambie niamie mtaa gani hapa dar es salaam ambako naweza kuenjoy 4G yao vizuri....

Kwa sasa naishi goba mwisho na cha ajabu nimeweka line yao hata network bar moja hakuna...
Nikipanda juu ya nyumba kinaongezeka kimoja then nikishuka kinakata.

Niko tayari kuingia gharama za kuhama endapo wataniambia nikiamia mtaa flan au sehemu flan huduma zao nitazipata vizuri

Siwezi kuuliza hili swali kwa mitandao mingine kwa sababu kila mtu anajua 4g zao zinavyopatikana sehemu kubwa dar es salaam

Nawasilisha

Kaka, do not try this at home. Wanabadilika hawa, waweze amin mahali baada ya mda wakazi wakaongezeka, wasiboreshe huduma then data na voice ikawa changamoto. Wewe usiamie mahali kufuata mtandao, angalia mtandao gani wafaa hapo uamie huo mtandao.
 
Ndio wameanza wapeni mda kuweka BTS ni guarana hata hao wengine walianza mdogo mdogo ukiondoa halotel ......ttcl wanatumia hela wanazokusanya kwenye biashara ya fixed network kufanya investment kwenye mobile ila mtandao wao kwa kweli uko vzur balaa mwanza huku mitandao mingine nmetupa kule mana ni wizi mtupu..ttcl lile bando letu la toboa kuanzia saa sita ucku 10GB kwa buku mnatufanya hatulali ucku kucha ni kudownload movie....tuwape mda
Nakubaliana na ww asilimia mia ila i think walitakiwa kuweka nguvu kwenye mikoa mikubwa kwanza then tuwape muda kwenye mikoa midogo sasa kama dar network inasumbua 4g hakuna je uko kwetu mkuranga kuna kitu kweli?
 
Kaka, do not try this at home. Wanabadilika hawa, waweze amin mahali baada ya mda wakazi wakaongezeka, wasiboreshe huduma then data na voice ikawa changamoto. Wewe usiamie mahali kufuata mtandao, angalia mtandao gani wafaa hapo uamie huo mtandao.
mitandao mingine yooote kwa hapa dar iko vizuri sehemu kubwa.... now niko goba mwisho nakwambia hata bar moja haipandi je huko mbagala maji matitu hali ikoje?
 
Wana huduma nzuri lakini coverage yao bado sana
Sasa kama bado kwa mkoa wa dar es saalam what about huko iringa? Ndio maana nilisema walitakiwa kuweka plan ya kuchukua mikoa yote mikubwa kwanza.... wakifunga strong 4g mikoa 5 tu watakuwa vizuri ila ndio hivyo tena
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom