Recent content by Mc Samo

  1. M

    Profesa Lipumba: Namsubiri Maalim Seif aje ofisini nimpangie majukumu yake

    Sijawahi kuona professor wa aina hii koz kwa ninachojua mm mtu akiwa professor kwanza ni mtu wa utaratibu na sio kufanya vitu kama mlevi kwa hiyo huyo jamaa sidhani kama anatumia akili yake ya uprofessor vizuri mana ata mwanafunzi wa Form four hawez kuwa na akili kama hizo ata kama ni siasa...
  2. M

    Naombeni ushauri wenu, nataka kujiunga na siasa

    Kwanza kabla ya yote napenda kuwasalim ndugu zangu wote wa JamiiForums wakubwa kwa wadogo, Nasema itifaki imezingatiwa, shida yangu ni kwamba nataka kujiunga rasmi na siasa kwa maana naipenda sana toka moyoni. Sasa basi naomba unishauri nini cha kufanya na je unapenda nijiunge na chama gani...
  3. M

    Najuta kuingia katika mahusiano ya mama mtu mzima

    Kama mtaani wanakuchukulia kama pastor kwann uliingia kweny uzinzi?
  4. M

    Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

    No way out upo sahihi
  5. M

    Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

    Yani tumekaa cafeteria mkuu
  6. M

    Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

    Nipo campus mkuu sijui bibo kama ipo or laa
  7. M

    Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

    Main campus kwa ss sipo mabibo
  8. M

    Wanawake wa Kiiraki wananipagawisha sana

    Acha tamaa zitakuponza
  9. M

    Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

    Maeneo ya udsm ndo balaa inamwaga maji si utani
  10. M

    Special Thread ya Dar Mpya: Paul Makonda afanya Ziara Jijini la Dar kusikiliza kero za wananchi

    Tatizo yy ni mwongeaji sana na sio mtendaji inabidi awe ni mtu wa kiasi ktk kuongea kwa sababu inapelekea anaongea vitu vng ambavyo hana uhakika navyo akizani kuwa anajisafisha kwa mh Rais kumbe anajifunga
  11. M

    Prof. Ndalichako apiga marufuku uvaaji wa Majoho kwa wahitimu ngazi za chini

    Nampongeza sana Prf Ndalichako kwa kuliona hili kwa sababu lilikua linashusha hadhi ya Joho na ingeendelea hvo ata wahitimu wa darasa la saba wangevaa ss ingekua wap hadhi ya joho kwa watu wa degree?
  12. M

    Kusoma tena basi..

    Alta continue, ila pole sana ndg maana huo si mwisho wa maisha kuna maisha bada ya kukosa mkopo chuoni, so jikaze kisabuni mwanaume kwan mafanikio si lazma uwe na elimu ya chuo kikuu
Back
Top Bottom