mputamaseko
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 1,401
- 949
Weka picha mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] usitamani watoto wa wenzio sasaWazazi wakiziona picha za watoto wao humu nitajiharibia Mkuu.
Tatizo unasikia tu kwa watu nenda kafanye utafiti ndo utajua ukweli uko wapi.....Nilipewa fununu kwenye kijiwe cha kahawa na wengi walisapoti..
1.Madereva wa magari makubwa wanashobokewa sana na hawa waIraki yani wanatafunwa sana na madereva,wakimuona dereva wa mabasi haya basi kiurahis wanachukuliwa
2.huwa wanapeana kikabila,ukimuoa mu-Iraki na siku akikutana na mu-Iraki mwenzie basi hawi mchoyo anampa ..ukimuoa mu-Iraki basi umewaolea kabila ..
Sijui kwa hawa wasomi..
aaah brazaa wale ni zero juu ya maji tatizo hawatambui uzuri wakooNaona kama unawakatazia dada zako, wapole sana hawa.
Acha kuandika uwongo. Mabinti wa ki-Iraqwi hawakeketwi miaka hii hiyo ilikuwa zamani kama ilivyo kwa makabila yote hapa Tz na Afrika. Kwanza unajua hata aina za ukeketaji au unaropoka tu?Wengi wao wamekeketwa. Ila kwa kiwaangali wanaleta raha. Figure nzuri, sura na hata nywele. Fanya hima.si wagumu kuwapata. Walotokea Ethiopia walikuwa wachungaji wang"ombe na walifika Tanzania kupitia bonde la ufa wakitafuta malisho ya ng'ombe na baadae wakawa wakazi. Ndiyo maana huwezi watofautisha na wahabeshi.
Kama hujakeketwa nikutembelee pmTumebarikiwa sana, Ashukuriwe Mungu tupo tupo ka si watanzania vile tuna asili fulan ya kihindi, nywele ndo usiseme.....
Pia mabinti waki-Iraqwi wanavutiwa sana na watu smart up-stairs. Wewe kama haupo vizuri halafu hupendi kukazania katika mambo ya elimu rahisi sana kukimbiwa akitokea anayependa kujiendeleza kielimu/maarifa.Beauty,intelligence and principle are some of the traits of these people
Hawajui kukataa ndiyo nini sasa? Wewe unaelewa maana ya "choice"? Kama wewe umemfuata binti ukamweleza haja zako na yeye akakubali tatizo lipo wapi?Hawajui kukataa