Kusoma tena basi..

Kusoma tena basi..

ahsanten kwa kunipa moyo wa uthubutu hakika kila wazo zuri nitalifanyia kazi..baya nitaliacha
 
Habari wadau!

Mimi ni mwanafunzi ambaye mwaka huu nilitarajiwa kuwa chuo mwaka wa kwanza TEKU ila kwa hali ilivyokuwa kusoma basi.

Mikopo 0 basi hata hali ya uchumi kwa wazazi basi iwe nzur but nimbovu kabisa hivo kuanzia sasa nimeamua kusubiri ajira nac kusoma tena labda miaka 4 mbele.

Kama una ushauri ntaupokea ahsanteni.
Pole sana kijana..usikate tamaa ya kusoma mapema kiasi hicho.kwani hata sisi wengine tulikosa mkopo wa serikali huku hali za kifedha kwa wazazi zikiwa mbaya sana.sikukata tamaa,nilipambana mtaani baada ya miaka kadhaa nikaanza chuo.kwa hiyo usikate tamaa kabisa
 
Laaaàa ebwana weee imefika mahari lasaba amekuwa na PhD kimaisha zaidi ya aliye chuo kuchukua degree
 
Alta continue, ila pole sana ndg maana huo si mwisho wa maisha kuna maisha bada ya kukosa mkopo chuoni, so jikaze kisabuni mwanaume kwan mafanikio si lazma uwe na elimu ya chuo kikuu
 
Back
Top Bottom