Naomba unitabirie mach ya juv vs barcelonaKuelekea Mechi ya chelsea na Man utd
siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo
Chelsea man utd
16
Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri
C=3
M=13
C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30
Chelsea=27
Man utd =30
NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana
Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Leicister na Atletico
Namba ya utàbibu Leicister ni shufwa 12 na Atletico ni witiri 1. Leo tarehe 18 ni shufwa mwezi wa 4 ni shufwa.
Kimahesabu
L=12+18=30
A=1+18=19
Tarehe na mwezi unaifeva leicister. Weka leicister win odds 4 kwa laki ule laki 4.
Tahadhari: mtabibu mkuu hata hafatilii thread yake. Mimi nimefanya Kama nilivyoelewa somo
Hicho kigroup chenu mmeacha tabia zenu za kuremove watu ovyo?