watu wengi tu walishasema kuhusu chadema kujibadilisha kisera, kimtazamo na ki-organisation, naona ujumbe unazidi kuwaingia , tusubiri wamalize hii ngwe, tuone kinachofuata.
siku moja niliuliza, hivi ikitokea, jk akajifanya kichaa, awafunge akina mapacha watatu, je cdm itakuwa na hoja gani ya...