Hakika Mwakyembe hafai tena kuwakilisha wana-Kyela.
Huyu alitumia mamilioni ya kodi yetu kwenye kamati yake ya richmond, akaja na maazimio lukuki, lakini yote serikali ikayapuuza na kuyatupilia mbali. Serikali hiyohiyo iliyoponda kazi ya kamati yake ikamhonga uanibu waziri naye akakenua meno. Angekuwa mkweli ndani ya nafsi yake angekataa uteuzi ule uanomfanya awe sehemu ya hii irresponsible govt.
Fisadi sawa na anaowatuhumu ufisadi.
Kama siyo mwanasiasa, anaiwakilishaje Mbeya? sasa hivi ndio amegain popularity ndani ya mbeya kuliko hata alivyokuwa anagombea!
kwenye siasa Phd hazina nafasi! Phd yake aipeleke Vyuoni na siyo jimboni!
Ni kweli kabisa kuwa Dr Mwakyembe anakupambana na zomea zomea kila akikatisha baadhi ya mitaa Kyela mjini;na hali ilikuwa tete zaidi juzi stand ya mabasi wakati wakazi wa Kyela walipofunga stand hiyo kwa sababu ya kukithiri kwa uchafu na kuwepo kwa madimbwi yanayotiririsha maji machafu kwenye maeneo yao ya biashara!
Juzi ilikuwa ni mkutano kati ya wananchi,DC,DED na Mbunge lkn wote hao viongozi hawakutokea na kuzidisha hasira za wananchi;walihaidi kuwa sasa mkutano huo utafanyika jana(sina taarifa kama nao ulifanyika au la)!
Wananchi sasa bila kuogopa wanamuhoji Mwakyembe ahadi za serikali hasa kuhusu barabara ya Kyela-Matema beach ambapo Rais JK mwaka 2005 aliwahaidi wana Kyela na kuirudia tena ahadi hiyo mwaka 2010 bila matekelezo yeyote yale;pia wanamkumbusha kuhusu ahadi ya meli mpya waliyowahaidi wana Kyela lkn majibu yake ni negative!
CHADEMA ikiongeza juhudi kidogo tu hasa za kuanza kumtafuta potential candidate wao Kyela basi pasipo shaka yeyote ile wanachukua jimbo hili kiurahisi kabisa;uzuri zaidi ni kuwa Dr Mwakyembe kaisha tangaza kuwa HATAGOMBEA mwaka 2015 hivyo kulifanya jimbo la Kyela"kutokuwa na mwenyewe"!
Mwakyembe ni mtatanishi, si lolote si chochote.
Malafyale ni mmoja ya watu waliompiga sana vita Mwakalinga aka Mtanzania wa JF kabla ya uchaguzi. Pamoja na kuwaeleza maelezo ya uhakika, ila wao bado walilala mstari mmoja kumtetea Mwakyembe. Wengi walimchagua Mwakyembe kwa sababu kadhaa:
1. Kuwakomoa Mafisadi ambao ilisemekana walikuwa wakitaka kumuondoa na kummaliza kisiasa.
2. Kumkomoa Mwakipesile ambaye ilisemekana kuwa alikuwa akimfanyia fitina Mbunge....
3. Kwa sababu wabunge wengi zamani walikuwa kwa miaka 10 , sasa Mwakyembe na kusoma ile ripoti kwa nini wamuondoe?
4. Wengi waliahidiwa vitu kibao na kuna Kibabu kiliweka sahihi hadi makaratasi kuwa kitapata gari ila sasa imekula kwake na kazi wamekifukuza kiaina. Ushahidi wote ulichomwa moto na hakubaki hata na copy............. Mnyakyusa Mjinga kumbe!!!!!
Sasa ona wanavyosema hawa vijana wake wa Tusk Force wa Jamiiforums kwa sasa:
Huyo Mbiliyi sio mwanasiasa kwanza ni mwehumwehu tu hana lolote yeye akusanye hizo pesa za pension akipata aendelee na mziki wake.
Siasa za bongo zinachekesha! Hii ni sawa na ya Dr Slaa kusema wabunge wanalipwa hela yingi baada ya kuacha ubunge naye anataka alipwe kama Mbunge! Slaa ni Fisadi sawa na anaowatuhumu Ufisadi!
Kumbe Sugu ana vaa heleni sikioni! Mmmmmh hii ni aibu kwa watu wa mbeya mjini! Mbunge ana vaa heleni!
Pole sana mkuu lakini Mwakyembe bado yupo yupo sana...
wewe na mwakyembe siku zenu zinahesabika hakika Mwakyembe ni Mchafu kama Rostam na Lowassa mimi ninasema kama inakuma sana kamwambie coz Ccm tumewachoka jamani mbona hamuelewi?
Mwakyembe kajibu vizuri.
Soma maelezo ya Giddy Mangi hapo chini............
![]()
Huyu wa Kenya utasemaje tena yeye kavaa ndani ya bunge.