Hivi chadema inatumia nguvu kiasi hicho kufanya maandamano na kuwavutia watu wengi, halafu kije kifie njiani kwa sababu za kina bavicha ni aibu ya kilo ngapi hiyo?
Tazama makundi yanayozuiwa yanavyojengeka kila siku humu chamani.
Mbunge lema anaapa hadharani kuwa atahakikisha heche anashinda, huku mdee na ester matiko wakikoleza kachumbari hiyo.
Kumbe sababu kubwa ni mchange
wakati wa kura za maoni za wabunge viti maalum, mchange alipewa mifedha na mh.ndesambulo na zitto, akazunguka nchi nzima kuwaua akina mdee na akina grace kiwelu( mtalaka wa mtoto wa ndesambulo) na alifanikiwa kuwamaliza.
Sasa hii ndiyo sababu kubwa ya kuwafanya akina mdee wavae viatu vizito (heche)asiyeuzika, ili wafanikiwe kumzuuia mchange asipenye.
Heche anapigiwa chapuo na akina lema na mdee na hata mch.msigwa wa iringa mjini
wote hawa ni wajumbe wa kamati kuu,hatujui kama haki itatendeka hapa kwa wagombea wasio na mtandao humo, yani hata jamaa anayeitwa mrema...ameapa kummaliza mchange kwenye kikao cha kamati kuu tarehe 26 mwezi huu
sijui hata lema kama anajua madhara ya kuwa kimbembele katka suala hili
kwani wagombea wengine hata siwajui majina vizuri ila nimesikia kuwa heche na mchange ndio wataweza kuleta vurugu.
Ushauri wangu ni bora hawa waondolewe tu, kwani ni makundi tupu wala sidhani kama madhara ya kuwaondoa mapema ni madogo zaidi ya yatakayotokea ikiwa wataruhusiwa wazame kwenye kinyanganyiro.
Heche pole, mchange poleni.
Kwani heche akitangazwa mshindi lazima mgawanyiko wa vijana utakuwa mkubwa kwa jinsi wasivyompenda na majungu yake na anajitangaza kuwa yeye ni chaguo la mbowe.
Mchange kosa lake kubwa ni bango la udini alilolibeba, hata akitangazwa bado hatapata ushirikiano mzuri, kwani akina grace wanakinyongo nae na ninajua tu makundi yatadumu
heche amesikika akitamba kuwa wagombea watakatwa ili wasimpunguzie kura za tanga na arusha, hapa sijui arusha anatishwa na sa8 tanga anatishwa na kisandu.
Hawa sio viongozi she...zi zao;. Watatuharibia chama.
Tazama makundi yanayozuiwa yanavyojengeka kila siku humu chamani.
Mbunge lema anaapa hadharani kuwa atahakikisha heche anashinda, huku mdee na ester matiko wakikoleza kachumbari hiyo.
Kumbe sababu kubwa ni mchange
wakati wa kura za maoni za wabunge viti maalum, mchange alipewa mifedha na mh.ndesambulo na zitto, akazunguka nchi nzima kuwaua akina mdee na akina grace kiwelu( mtalaka wa mtoto wa ndesambulo) na alifanikiwa kuwamaliza.
Sasa hii ndiyo sababu kubwa ya kuwafanya akina mdee wavae viatu vizito (heche)asiyeuzika, ili wafanikiwe kumzuuia mchange asipenye.
Heche anapigiwa chapuo na akina lema na mdee na hata mch.msigwa wa iringa mjini
wote hawa ni wajumbe wa kamati kuu,hatujui kama haki itatendeka hapa kwa wagombea wasio na mtandao humo, yani hata jamaa anayeitwa mrema...ameapa kummaliza mchange kwenye kikao cha kamati kuu tarehe 26 mwezi huu
sijui hata lema kama anajua madhara ya kuwa kimbembele katka suala hili
kwani wagombea wengine hata siwajui majina vizuri ila nimesikia kuwa heche na mchange ndio wataweza kuleta vurugu.
Ushauri wangu ni bora hawa waondolewe tu, kwani ni makundi tupu wala sidhani kama madhara ya kuwaondoa mapema ni madogo zaidi ya yatakayotokea ikiwa wataruhusiwa wazame kwenye kinyanganyiro.
Heche pole, mchange poleni.
Kwani heche akitangazwa mshindi lazima mgawanyiko wa vijana utakuwa mkubwa kwa jinsi wasivyompenda na majungu yake na anajitangaza kuwa yeye ni chaguo la mbowe.
Mchange kosa lake kubwa ni bango la udini alilolibeba, hata akitangazwa bado hatapata ushirikiano mzuri, kwani akina grace wanakinyongo nae na ninajua tu makundi yatadumu
heche amesikika akitamba kuwa wagombea watakatwa ili wasimpunguzie kura za tanga na arusha, hapa sijui arusha anatishwa na sa8 tanga anatishwa na kisandu.
Hawa sio viongozi she...zi zao;. Watatuharibia chama.