Slaa, Zitto, Mbowe, Mnyika; someni hii

JikeDume

Member
May 19, 2011
70
8
Hivi chadema inatumia nguvu kiasi hicho kufanya maandamano na kuwavutia watu wengi, halafu kije kifie njiani kwa sababu za kina bavicha ni aibu ya kilo ngapi hiyo?
Tazama makundi yanayozuiwa yanavyojengeka kila siku humu chamani.
Mbunge lema anaapa hadharani kuwa atahakikisha heche anashinda, huku mdee na ester matiko wakikoleza kachumbari hiyo.
Kumbe sababu kubwa ni mchange
wakati wa kura za maoni za wabunge viti maalum, mchange alipewa mifedha na mh.ndesambulo na zitto, akazunguka nchi nzima kuwaua akina mdee na akina grace kiwelu( mtalaka wa mtoto wa ndesambulo) na alifanikiwa kuwamaliza.
Sasa hii ndiyo sababu kubwa ya kuwafanya akina mdee wavae viatu vizito (heche)asiyeuzika, ili wafanikiwe kumzuuia mchange asipenye.
Heche anapigiwa chapuo na akina lema na mdee na hata mch.msigwa wa iringa mjini
wote hawa ni wajumbe wa kamati kuu,hatujui kama haki itatendeka hapa kwa wagombea wasio na mtandao humo, yani hata jamaa anayeitwa mrema...ameapa kummaliza mchange kwenye kikao cha kamati kuu tarehe 26 mwezi huu
sijui hata lema kama anajua madhara ya kuwa kimbembele katka suala hili
kwani wagombea wengine hata siwajui majina vizuri ila nimesikia kuwa heche na mchange ndio wataweza kuleta vurugu.
Ushauri wangu ni bora hawa waondolewe tu, kwani ni makundi tupu wala sidhani kama madhara ya kuwaondoa mapema ni madogo zaidi ya yatakayotokea ikiwa wataruhusiwa wazame kwenye kinyanganyiro.
Heche pole, mchange poleni.
Kwani heche akitangazwa mshindi lazima mgawanyiko wa vijana utakuwa mkubwa kwa jinsi wasivyompenda na majungu yake na anajitangaza kuwa yeye ni chaguo la mbowe.
Mchange kosa lake kubwa ni bango la udini alilolibeba, hata akitangazwa bado hatapata ushirikiano mzuri, kwani akina grace wanakinyongo nae na ninajua tu makundi yatadumu
heche amesikika akitamba kuwa wagombea watakatwa ili wasimpunguzie kura za tanga na arusha, hapa sijui arusha anatishwa na sa8 tanga anatishwa na kisandu.
Hawa sio viongozi she...zi zao;. Watatuharibia chama.
 
Mimi ni mwanachama wa CCM,ila dada unachemsha!!....just let it go,it's gonna be alright.
 
Wewe unaeamini cdm nichama chakisiasa kwa maendeleo ya watu,zindukaaaaaaaaaa shauri yako achana na kampuni ya mbowe
 
DOgo acha kutuharibia chama, hivi wewe unadhani Chadema ni wajinga kiasi hicho? kwa siasa za leo tunahitaji mtu kama heche, kukosekana kwake tu kulisababisha tukakosa jimbo la tarime, bila heche mnyika angeporwa ushindi na bila heche mbowe alikuwa na tabu sana hai, sasa mtu aliyeonyesha juhudi kubwa kama hiyo kwa nini tusimpe uenyekiti Tiafa bavicha
Kinachokusumbua wewe ni wivu tena wa kike kama siyo wa ki barmaid , wewe wote tunajuwa kila unachoanzisha humu ni juu ya heche na mchange wagombea wako wengi, kuna mwampmba, kuna silinde na wewe mwenyewe au unataka tukutaje jina......., tunakuhifadhi for future use , ila nakuapia kwa jina la yesu aliye hai ukirudia kuleta huu ujinga humu nakulipua haki ya nani?
acha siasa za kijinga this is a new generation hatudanganywi na ujinga , muulize mwenzio wa magamba
acheni maji taka CDM siyo NCCR mageuzi au CCM, nasikia umeapa ukishindwa bavicha unahamia TLP, go for good kwanza huna mvuto
 
Kama ni haya: bora CCM kuliko CHADEMA. Au kutokuwa na chama kabisaaaaaaaaaaaaa na nikaendelea na kilimo changu cha mpunga Ifakara!
 
Kama ni haya: bora CCM kuliko CHADEMA. Au kutokuwa na chama kabisaaaaaaaaaaaaa na nikaendelea na kilimo changu cha mpunga Ifakara!

Usikimbie mawimbi, pambana nayo utavuka salama, vinginevyo utaendelea kunyanyaswa na mafisadi kwa kupewa bei ndogo ya mpunga mpaka ukome!
 
Mweeee muda muafaka wa viongozi wa jf kuanzisha subforum ya taarabu .Naona comment zingine zimekaaa kimipasho mipasho
 
yap yap hii ndio demokrasia tunayoitaka kumbuka miaka 10 tu ya nyuma watu waliweza kufanya ya sasa then nafikiri huu ni mwelekeo mzuri ili viongozi wanaokuja waweze kuwajibika kwa waliwaweka.
 
DOgo acha kutuharibia chama, hivi wewe unadhani Chadema ni wajinga kiasi hicho? kwa siasa za leo tunahitaji mtu kama heche, kukosekana kwake tu kulisababisha tukakosa jimbo la tarime, bila heche mnyika angeporwa ushindi na bila heche mbowe alikuwa na tabu sana hai, sasa mtu aliyeonyesha juhudi kubwa kama hiyo kwa nini tusimpe uenyekiti Tiafa bavicha
Kinachokusumbua wewe ni wivu tena wa kike kama siyo wa ki barmaid , wewe wote tunajuwa kila unachoanzisha humu ni juu ya heche na mchange wagombea wako wengi, kuna mwampmba, kuna silinde na wewe mwenyewe au unataka tukutaje jina......., tunakuhifadhi for future use , ila nakuapia kwa jina la yesu aliye hai ukirudia kuleta huu ujinga humu nakulipua haki ya nani?
acha siasa za kijinga this is a new generation hatudanganywi na ujinga , muulize mwenzio wa magamba
acheni maji taka CDM siyo NCCR mageuzi au CCM, nasikia umeapa ukishindwa bavicha unahamia TLP, go for good kwanza huna mvuto
Mkuu maneno mazito sana haya. Huyu Jikedume sijui si kajiunga leo sasa hizo kila post zinatoka wapi? Au amekuja kwa jina lingine kama Malaria Sugu?
 
DOgo acha kutuharibia chama, hivi wewe unadhani Chadema ni wajinga kiasi hicho? kwa siasa za leo tunahitaji mtu kama heche, kukosekana kwake tu kulisababisha tukakosa jimbo la tarime, bila heche mnyika angeporwa ushindi na bila heche mbowe alikuwa na tabu sana hai, sasa mtu aliyeonyesha juhudi kubwa kama hiyo kwa nini tusimpe uenyekiti Tiafa bavicha
Kinachokusumbua wewe ni wivu tena wa kike kama siyo wa ki barmaid , wewe wote tunajuwa kila unachoanzisha humu ni juu ya heche na mchange wagombea wako wengi, kuna mwampmba, kuna silinde na wewe mwenyewe au unataka tukutaje jina......., tunakuhifadhi for future use , ila nakuapia kwa jina la yesu aliye hai ukirudia kuleta huu ujinga humu nakulipua haki ya nani?
acha siasa za kijinga this is a new generation hatudanganywi na ujinga , muulize mwenzio wa magamba
acheni maji taka CDM siyo NCCR mageuzi au CCM, nasikia umeapa ukishindwa bavicha unahamia TLP, go for good kwanza huna mvuto

zaidi sana nitakusaidia kanda za mzee yusufu, ili ujifunze taarabu oohoooo!!!!!!!!!, elezea heche alivyomsaidia mnyika kutoporwa ubunge, au ndo mlivyojipanga kuwadanganya watu, kule hai nitakubali kuwa alipeleka watu wa tarime ohohhhooo!!!
hebu nilipue nikuone, maana watu msiojua kujenga hoja, au ww ni mchange/heche...haya endelea tu na unafiki wako.
yaani mimi siwezi kukuwanga mkono wassss.......zi, kama ww
unaleta ushuzi wako hapa.
kavue mashati na upigane huko.
nani kakudnganya mm ni mgombea,umesikia mgombea wa kike mwenyekti
 
DOgo acha kutuharibia chama, hivi wewe unadhani Chadema ni wajinga kiasi hicho? kwa siasa za leo tunahitaji mtu kama heche, kukosekana kwake tu kulisababisha tukakosa jimbo la tarime, bila heche mnyika angeporwa ushindi na bila heche mbowe alikuwa na tabu sana hai, sasa mtu aliyeonyesha juhudi kubwa kama hiyo kwa nini tusimpe uenyekiti Tiafa bavicha
Kinachokusumbua wewe ni wivu tena wa kike kama siyo wa ki barmaid , wewe wote tunajuwa kila unachoanzisha humu ni juu ya heche na mchange wagombea wako wengi, kuna mwampmba, kuna silinde na wewe mwenyewe au unataka tukutaje jina......., tunakuhifadhi for future use , ila nakuapia kwa jina la yesu aliye hai ukirudia kuleta huu ujinga humu nakulipua haki ya nani?
acha siasa za kijinga this is a new generation hatudanganywi na ujinga , muulize mwenzio wa magamba
acheni maji taka CDM siyo NCCR mageuzi au CCM, nasikia umeapa ukishindwa bavicha unahamia TLP, go for good kwanza huna mvuto

Huu ndio ukweli wenyewe CHADEMA si chama kilichotoka mbinguni kama wenyewe mnavyotaka watu waelewe. Siasa ni biashara ya wanasiasa hivyo yalioko CCM yako pia CDM, CUF na vyengine. Isipokuwa kila chama kina wakati wake wa kuadhirika!
 
Duh umejiandikisha leo kwenye jamvi kuja kutpa upupu ngojeeni basi muone mwisho wa uchaguzi ndio muje museme
 
Duh umejiandikisha leo kwenye jamvi kuja kutpa upupu ngojeeni basi muone mwisho wa uchaguzi ndio muje museme

sijui wewe ni nani hasa usiyejua maana ya taarifa na tahadhari..............naona upungufu uliokichwani mwako ndo unakusumbua.....ushamba wako wa teknologia ndo unakuhangaisha, na bila shaka ww umeijua intaneti hapa jf, yani unadhani ww kuwahi kujiunga kabla yangu ndo sababu ya ww kujua chochote zaidi yangu..? kweli ushamba huu wa mitandao, nadhani hata fb huijui ww ulijiunga kwa ajili ya ushabiki tu waa siasa,...kama ww ni dada mwenzangu basi jiandae kwa ndoa za kuachika na kama n mkaka basi jiweke tobo pale komakoma wapige kiboger...mm naongea mambo kwa ajili ya chama chetu ww unaleta ushabiki, hebu kama una jeuri ni pm kwa jina lako halisi ili nami nikwambie n nani, ili tuje tuonane uso kwa uso.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom