Toa maoni yako juu ya wagombea hawa wa BAVICHA (Chadema) taifa

Hivi wewe ndugu yangu mtoa hoja una matatizo gani?
Basi toa japo vigezo vinavyoonesha kwamba yeye anafaa na si wengine.
 
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hii nayo loooooooooooo

KISANDU, JIPANGE UPYA AISEEEEEEEEE
 
<p>
WAKATI WENGINE WANATUPIANA MADONGO UCHAGUZI WA BAVICHA <b><font size="3">Deogratius Kisandu</font></b> NDO MGOMBEA PEKEE WA NAFASI YA MWENYEKITI ANAYESTAHILI KUTUNUKIWA NAFASI HIYO KWANI HANA SKENDO KABISA ...........HUYU NDO WA KWELI...........mimi mpiganaji toka MTWARA
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
WAKATI WENGINE WANATUPIANA MADONGO UCHAGUZI WA BAVICHA Deogratius Kisandu NDO MGOMBEA PEKEE WA NAFASI YA MWENYEKITI ANAYESTAHILI KUTUNUKIWA NAFASI HIYO KWANI HANA SKENDO KABISA ...........HUYU NDO WA KWELI...........mimi mpiganaji toka MTWARA

Ngoja niendelee kusoma huku chini huenda nikakutana na habari inayorandana na hiki kichwa cha habari...
Mh. au habari imepostiwa kwenye thread nyingine!
 
Jamani hebu watu wawe makini.Mambo mengine yanachekesha na kuudhi at the same time
Mtu anamtumia Zitto ili kupata attention.Hawa attention seekers huku JF ni tatizo.Inawezekana si Mgombea ila kuna mtu anataka kumchafua huyo mgombea.Kuna mambo mengi sana huku JF

As for you Baba Clara,There is nothing logical in what you have posted so far. To yourself perhaps you make sense but, seriously, nothing logical in your post
Lakini tukumbuke kuwa kampeni hazijaruhusiwa bado.Let us be Objective .People are funny sha

Mkuu wewe ni mgombea pia. Ukiongea hapa inaonekana kama vile na wewe umeanza kampeni vile...Usikute wewe ndo baba clara. Ni mawazo tu.
 
jf inaonekana kuwa ya watu fulani kisandu anasahauliwa namuwasilisha kwenu mgombea wa nafasi ya mwenyekiti bavicha kijana deogratius kisandu.........

havina uhusiano bavicha ndio kitu gani na bungeni nako ndio kitu gani ??????????[/b]
 
Mkuu wewe ni mgombea pia. Ukiongea hapa inaonekana kama vile na wewe umeanza kampeni vile...Usikute wewe ndo baba clara. Ni mawazo tu.

Mkeshaji,

Mimi najiamini.Sina ID mbili na sitawahi kuwa nazo.ID yangu ni hii tangu mwaka 2007.Mods kama nina ID mbili naomba mniumbue hadharani.Location za watu zinaweza hata kusaidia hapa,Honestly,nipo hapa Ubungo Lunch Time sijui huyo Baba clara.Mods wanaweza kukupa facts ili uache speculations

Halafu naomba unitake radhi,I cant be low kiasi hiki katika kuanzisha thread za kijinga kama hizi.Pia nipo concerned na kampeni za kuchafuana kama hizi kwa sababu mimi nataka tufanye kampeni safi.Sijawahi kumchafua na sitawahi kumchafua mgombea yeyote katika kampeni.Naiweka hii very clear kwamba hata mgombea mwenzangu nikiona anachafuliwa basi moja kwa moja itanihusu na nitakemea hilo.

Hizi ni siasa za kizazi kipya.Nataka tukachukue dola tukiwa United.Pia,nimekusamehe bure kwa hizo speculation ulizofanya lakini kwa kuwa mimi ni mzoefu wa JF kwa miaka Mitano hainipi Shida.

Thanks for your concern though!
 
Mkeshaji,

Mimi najiamini.Sina ID mbili na sitawahi kuwa nazo.ID yangu ni hii tangu mwaka 2007.Mods kama nina ID mbili naomba mniumbue hadharani

Halafu naomba unitake radhi,I cant be low kiasi hiki katika kuanzisha thread za kijinga kama hizi.Pia nipo concerned na kampeni za kuchafuana kama hizi kwa sababu mimi nataka tufanye kampeni safi.Sijawahi kumchafua na sitawahi kumchafua mgombea yeyote katika kampeni.Naiweka hii very clear kwamba hata mgombea mwenzangu nikiona anachafuliwa basi moja kwa moja itanihusu na nitakemea hilo.

Hizi ni siasa za kizazi kipya.Nataka tukachukue dola tukiwa United.Pia,nimekusamehe bure kwa hizo speculation ulizofanya lakini kwa kuwa mimi ni mzoefu wa JF kwa miaka Mitano hainipi Shida.

Thanks for your concern though!

Bado unaendelea tu, nilishakushauri mkuu lakini naona sasa hii ni tabia yako. Kweli tabia huwa haibadiliki kabisa.
 
wakati wengine wanatupiana madongo uchaguzi wa bavicha deogratius kisandu ndo mgombea pekee wa nafasi ya mwenyekiti anayestahili kutunukiwa nafasi hiyo kwani hana skendo kabisa ...........huyu ndo wa kweli...........mimi mpiganaji toka mtwara

tarehe uliyojiunga unatutia mashaka ndo walex2 mlioagizwa na katibu wenu (aka gamba) mkuu mpya
 
KWAHIYO Baba clara ndio Deogratius Kisandu.



WAKATI WENGINE WANATUPIANA MADONGO UCHAGUZI WA BAVICHA Deogratius Kisandu NDO MGOMBEA PEKEE WA NAFASI YA MWENYEKITI ANAYESTAHILI KUTUNUKIWA NAFASI HIYO KWANI HANA SKENDO KABISA ...........HUYU NDO WA KWELI...........mimi mpiganaji toka MTWARA
 
Bado unaendelea tu, nilishakushauri mkuu lakini naona sasa hii ni tabia yako. Kweli tabia huwa haibadiliki kabisa.

Mkuu Mimi ni Ben Saanane.sasa sijui ulimshauri nani na kuhusu nini?Nasikitika kujiingiza kwenye malumbano na mtu kama wewe kwani unajua unachokifanya kwa makusudi tu.
 
Mkeshaji,

Mimi najiamini.Sina ID mbili na sitawahi kuwa nazo.ID yangu ni hii tangu mwaka 2007.Mods kama nina ID mbili naomba mniumbue hadharani

Halafu naomba unitake radhi,I cant be low kiasi hiki katika kuanzisha thread za kijinga kama hizi.Pia nipo concerned na kampeni za kuchafuana kama hizi kwa sababu mimi nataka tufanye kampeni safi.Sijawahi kumchafua na sitawahi kumchafua mgombea yeyote katika kampeni.Naiweka hii very clear kwamba hata mgombea mwenzangu nikiona anachafuliwa basi moja kwa moja itanihusu na nitakemea hilo.

Hizi ni siasa za kizazi kipya.Nataka tukachukue dola tukiwa United.Pia,nimekusamehe bure kwa hizo speculation ulizofanya lakini kwa kuwa mimi ni mzoefu wa JF kwa miaka Mitano hainipi Shida.

Thanks for your concern though!

Sasa hilo povu la nini?
Unisamehe kwani nimekosa nini?
ID yako kuwa na umri wa miaka mitano (hata ingekuwa mia) humu jamvini unadhani inamaanisha kuwa wewe ndo una akili nyingi kuliko yule aliyejiunga leo? Acheni mawazo ya kitoto hayo...Na usemi huu nimeusikia ukisambaa sana humu jamvini kwa siku kadhaa. Na hizo ndo fikra mgando.
 
Back
Top Bottom