Kuna kiboko yao KILIMANJARO PARK SINZA MAKABURINI ni bar ya gorofa1,ukiingia bar unaenda chooni ni karibu na mapokezi unnajifannya unaenda kujisaidia unalipa kisha unapanda ngazi ya ghorofa kama unaenda bar ya ukumbini juu unapotelea hapo kati unazama chumbani kuna kila kitu na unaagiza kila...
Chadema mbele kwa maendeleoo na sio ccm (chukua chako mapema) mpaka leo miaka 52 ya babu yangu hatuna kiwanda cha sindano au stick za meno, umeme mgao kila mara mafisadi kibao ww huoni bado umo tuu nawe mbulula usiye vaa viatu:(:d
Anataka akae kimya kwakua alimpa ubunge hii nchi ni ya babake Kikwete!
Aache upuuzi asiyejua ni mlemavu wa mawazo kama yeye Nape ina maana ampe rushwa ya kuchaguliwa au? Nape huna Elimu yoyote na huenda vyeti vya kuongoza ccm umefoji kama kawa yenu imekula kwako huyu ni mpinzani anajua anachosema
UDOM Wanauza kweli hao hapo Chako ni chako wanakatiza wakitafuta zaidi ya jero sasa wanaona soo wanaitaja UDSM kwan ndo wamesema? mmeonekana mnaliuza jero na wanaosema wameokoka na maustadh ndo wauzaji wazuri huku wakijificha na dini mchana usiku wanaegesha kwa jero, aibu ukipita ukisema umesoma...
Bank yoyote tanzania hairuhusiwi kukataa pesa zozote hata sarafu ya sh. 10 lazima wapokee na bank yoyote ikikataa kupokea hela labda iwe imeharibika inatakiwa kufutiwa leseni mhusika apeleke lalamiko hilo kama lipo kwa waziri wa fedha, na pesa ikiwa mbovu ipelekwe bot.
Wamezoea kutuburuza nw Cdm 2na nguvu ya uma wao wana ngvu ya madaraka,pia msisahau vyama vingne vimekua kama matawi ya ccm kujishikiza kama bi mdogo cuf, ss vidume tumetaka kuonana na presdaa msemaji wa ccm umetoka wap kuja kusemea upinzan au ndo umbeya 2kupe maji na bakul?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.