Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
mkuu uko very correct, ata kama kafulila ataomba na kurudi cdm na ata kugombea kwa tiketi ya cdm, fine lkn lazima wajue (zito pia kafulila) ajenda zao ziko bayana na watanzania tunawafahamu na mipango yao iko bayana kabisa, zito kabwe ajirekebishe mwenendo wake ambao hatukubaliani nao, aswa yeye km kiongozi wa cdm vinginevyo post ya unaibu katibu mkuu wa chama haiache,
kujiingiza tu ktk mambo ya nccr ata kuwajulisha polisi kilichokuwa kikijiri ktk kikao cha nccr by any means hakikuwa sahihi ana masilahi yapi uko NCCR, asa kwa kiongozi wa cdm mwenye post ya unaibu katibu mkuu wa chama cdm.
bwana zito be serious tunaiunga mkono chadema kwa kuwa tunaamini ukombozi wetu uko uko, sasa wewe na NCCR kulikoni?? viongozi wa chadema muwe serious o/w mjue uko mbele ya safari hatutataka
Mkuu, Zitto hana adabu hata mimi naelewa. Lakini tumtendee haki. Wapi umethibitisha Zitto kaita Polisi kwenye mkutano wa NCCR? Acheni kutumika kijinga bila kujijua. Yeye mwenyewe amesema hawezi kuwa na interest kwenye chama kisicho na mwelekeo na kilichopoteza dira kama NCCR Manunuzi. Tusiutumie unafiki wa Zitto kukuza mambo