Recent content by Mbeya One

  1. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Watanzania tunakwamishana kipumbavu sana, polisi ilitakiwa wawe serious sana kwenye issue za namna hii maana dunia sasa ishatoka kwenye biashara ya mazoea, kwasasa mambo yote mtandaoni, bahati mbaya zaidi hii "fursa" kwa nchi yetu wameiwahi matapeli kiasi kwamba inatuharibia sana wafanyabiashara...
  2. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Mariposa anafurahisha kama sio dada yako
  3. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Tusimame na huyo takataka mshkaji ake domo aliyetutusi kuelekea oktoba 29?
  4. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa sept 9.

    Kwasasa watu waachane na hizi simu mpya kwa miaka ya karibuni hazina mabadiliko makubwa, kwa wapenzi wa Samsung aishie S24 ultra, kwa wapenzi wa Iphone waishie 15 pro max
  5. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Nimeshavuka hofu

    Kijana kama una ujasiri wa kukaa kwa shemeji huwezi shindwa kujitutumua humu kwenye utambulisho feki
  6. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Wanawake hampendi wanaume wawe na machaguo kabisa 😂 mbona wanaume pangu pakavu wanaambiwa watoto wazuri wataishia kuwaita shemeji
  7. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo mitaa kwenye mikoa mbalimbali inayoongoza kwa kuwa na walevi wengi wa pombe

    Uyole pale kati(sio uyole kati) pote palikuwa ni vilabu tu. Nimeenda juzi ndio angalau watu wamenunua wamejenga frem za biashara, mleta sredi yupo sahihi
  8. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Kalapina ampondea Sugu

    Tatizo sio show, vipi we upo tayari hapo kkoo mtu aje afungue biashara kwa jina lako na anauza unachouza?
  9. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Hii kitu kariakoo tushazoea 😂 kuna siku boya mmoja tumejibizana hovyo akashuka kwenye ndinga akasusa
  10. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Kalapina ampondea Sugu

    Katika msanii ana mambo ya kike kike ni Fid Q, wamemkosea sana Sugu na mwenzie Madee. Mbaya zaidi tamasha wamelipa jina lile lile tu tofauti huku ni Peter kule Petro
  11. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Nimezaliwa Dar ila najivunia Mbeya kwenye asili ya wazazi wangu, miaka ya nyuma kweli wakati tunatembea mikoani utofauti ulikuwa mkubwa ila kwasasa kitu pekee Dar inazidi mikoa mingine ni mzunguko wa pesa
  12. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA AJIRA; zawadi na baraka imng'arishayo mwanamke

    Kwanza niweke wazi wewe ni moja kati ya I'd za kike zenye kujenga hoja nzuri na fikirishi, hoja zako nyingi huyo huyo Natafuta Ajira alishazijibu kwenye sredi yake sina hakika sana na heading ilikuwaje lakini nahisi "wanawake wanachukia mfumo dume ila wanataka benefits za mfumo huo huo"...
  13. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Hata kama uko nje ya nchi usiamini sana watu wa karibu ndo wauza Taarifa na kukamatishana

    Huyu wa Ze utamu alivuka mipaka si ajabu JK kilimtoka kibunda kirefu sana kufanikisha huu ukamataji
  14. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Bakari Shime,inatosha jiuzilu.

    Nimeangalia games zote tatu, naweza sema bora Egypt aliyepigwa goli 6 game 2 kuliko Twiga stars, tusipotengeneza falsafa ya mpira wetu tutaendelea kuteseka sana hizi timu za taifa. Yani game dk ya 1 mpaka ya 90 we unabutua tu, nimehuzunika sana ukizingatia Twiga stars ina wachezaji wazuri tu
  15. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Sio poa mkuu imenitoa kwenye relin sana hiyo, nimeruka ruka sana nyuma ila huyu manzi sijui aliniwekea dawa gani mpaka nafuu nimeenda ipata kwa mwanasaikolojia
Back
Top Bottom