Ndio maana tunataka nchi iongozwe kwa kufuata katiba sio matakwa ya chama/wanachama. Bado sikubaliani na hoja zako sababu ya wanachadema kuwa hivyo zipo wazi, wameshapita viongozi waliowahi pendwa kama Lema lakini wakaishia saliti kambi.
Lema amekuwa na dalili kama hao, tunaambiwa yeye ndio...
Nimejikuta nawaza tu isije kuwa dogo Junior ambaye Hilda Newton anampambania baada ya kutekwa na dingi senge kitengo, inasikitisha sana watu hawana huruma hata kidogo! Kitu ambacho huwezi kiunda unaanzaje kukiharibu? RIP
Nipo jukwaani miaka ya binti kuvunja ungo, Enzi Da'Vinci ni mondray. Ile stori ya 7800 sioni uhusiano wowote na Gudume, nikikumbuka aina ya uandishi wa wale viumbe wawili hasa mwanaume kuna baadhi ya ID humu zinafanana naye
Hawa majamaa weupe sana, namna alivyokalishwa hapo kwa mtu yoyote mwenye ujuzi kidogo tu wa martial arts anapindua meza 😁 Hawa viumbe washukuru tu oktoba ziliwaokoa risasi
Nakubaliana na wazo la kuhamisha wananchi wa wilaya ya Temeke kupisha maendeleo lakini hii ishu ya bandari kavu kuwepo mjini sioni kama ina tija zaidi ya kuongeza foleni tu mjini.
Serikali ilitakiwa kupanua barabara ya Dar-Mbeya angalau kwa njia 4 pamoja na kupeleka SGR Tunduma, ingeweza...
Hayo ndio malipo ya usaliti, hawakuamini waliokutumia huku wananchi ndio kabisa hawataki kukusikia. Binafsi kwa mzaha aliofanya baada ya mauaji ya Oktoba 29 huyu mtu hastahili kuishi
Huyu Odemba sio poa, wamoto sana kiasi kwamba kuna mccm mmoja alishawahi chimba hakutokea kwenye kipindi. Hiyo siku nilimuonea huruma sana mshkaji alimwaga chozi live. Kwasasa muacheni tu atambe, alipofika hajafika kwa bahati mbaya, safari yake umekuwa na changamoto nyingi lakini ujasiri ndio...
We ni "sell out" hupaswi kuaminika. Punguza unafiki Pasco umri umeshaenda, moyo wako hauna hatia kabisa kwa haya unayofanya? Hukuridhika kwa Kabendera?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.