Watanzania tunakwamishana kipumbavu sana, polisi ilitakiwa wawe serious sana kwenye issue za namna hii maana dunia sasa ishatoka kwenye biashara ya mazoea, kwasasa mambo yote mtandaoni, bahati mbaya zaidi hii "fursa" kwa nchi yetu wameiwahi matapeli kiasi kwamba inatuharibia sana wafanyabiashara...
Kwasasa watu waachane na hizi simu mpya kwa miaka ya karibuni hazina mabadiliko makubwa, kwa wapenzi wa Samsung aishie S24 ultra, kwa wapenzi wa Iphone waishie 15 pro max
Uyole pale kati(sio uyole kati) pote palikuwa ni vilabu tu. Nimeenda juzi ndio angalau watu wamenunua wamejenga frem za biashara, mleta sredi yupo sahihi
Katika msanii ana mambo ya kike kike ni Fid Q, wamemkosea sana Sugu na mwenzie Madee. Mbaya zaidi tamasha wamelipa jina lile lile tu tofauti huku ni Peter kule Petro
Nimezaliwa Dar ila najivunia Mbeya kwenye asili ya wazazi wangu, miaka ya nyuma kweli wakati tunatembea mikoani utofauti ulikuwa mkubwa ila kwasasa kitu pekee Dar inazidi mikoa mingine ni mzunguko wa pesa
Kwanza niweke wazi wewe ni moja kati ya I'd za kike zenye kujenga hoja nzuri na fikirishi, hoja zako nyingi huyo huyo Natafuta Ajira alishazijibu kwenye sredi yake sina hakika sana na heading ilikuwaje lakini nahisi "wanawake wanachukia mfumo dume ila wanataka benefits za mfumo huo huo"...
Nimeangalia games zote tatu, naweza sema bora Egypt aliyepigwa goli 6 game 2 kuliko Twiga stars, tusipotengeneza falsafa ya mpira wetu tutaendelea kuteseka sana hizi timu za taifa. Yani game dk ya 1 mpaka ya 90 we unabutua tu, nimehuzunika sana ukizingatia Twiga stars ina wachezaji wazuri tu
Sio poa mkuu imenitoa kwenye relin sana hiyo, nimeruka ruka sana nyuma ila huyu manzi sijui aliniwekea dawa gani mpaka nafuu nimeenda ipata kwa mwanasaikolojia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.