Recent content by Mbeya One

  1. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni wakandamizaji wa Uhuru wa maoni na kujieleza kwa watu. Hawana tofauti na CCM

    Ndio maana tunataka nchi iongozwe kwa kufuata katiba sio matakwa ya chama/wanachama. Bado sikubaliani na hoja zako sababu ya wanachadema kuwa hivyo zipo wazi, wameshapita viongozi waliowahi pendwa kama Lema lakini wakaishia saliti kambi. Lema amekuwa na dalili kama hao, tunaambiwa yeye ndio...
  2. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Kuna Maiti inadaiwa kuokotwa kwenye mtaro, Mwenge Coca-Cola road mkabala na Natai Plaza ikiwa imetolewa macho

    Dah hapo kuna familia zinaenda kusuffer
  3. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Kuna Maiti inadaiwa kuokotwa kwenye mtaro, Mwenge Coca-Cola road mkabala na Natai Plaza ikiwa imetolewa macho

    Uwa siangalii maiti ndio maana nimetumia "nawaza" lakini bado mtu kuuawa sio poa 😢. Naombea mshkaji apatikane akiwa salama
  4. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Kuna Maiti inadaiwa kuokotwa kwenye mtaro, Mwenge Coca-Cola road mkabala na Natai Plaza ikiwa imetolewa macho

    Nimejikuta nawaza tu isije kuwa dogo Junior ambaye Hilda Newton anampambania baada ya kutekwa na dingi senge kitengo, inasikitisha sana watu hawana huruma hata kidogo! Kitu ambacho huwezi kiunda unaanzaje kukiharibu? RIP
  5. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Tuaganeni rasmi sasa, najiweka kando na JF

    Shemeji amekufukuza hakuna tena WIFI ya bure au ndio tunalog in kwenye ID nyingine sio?
  6. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Dar ina wanaume wengi zaidi wenye hulka za kike (feminine)?

    Nimezaliwa Dar nimekulia Dar lakini kuna tabia nyingine noma sana hasa vinjunga, unapishana na zee limevaa bukta sio bukta boksa sio boksa, aibu sana
  7. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Sijui kwa nini ila lucas mwashambwa akikaa kimya , ID ya haszu nayo inapotea🤨

    Nipo jukwaani miaka ya binti kuvunja ungo, Enzi Da'Vinci ni mondray. Ile stori ya 7800 sioni uhusiano wowote na Gudume, nikikumbuka aina ya uandishi wa wale viumbe wawili hasa mwanaume kuna baadhi ya ID humu zinafanana naye
  8. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Sijui kwa nini ila lucas mwashambwa akikaa kimya , ID ya haszu nayo inapotea🤨

    Kidukulilo aka Bill Lugano mbona hawafananii kabisa na Gudume. Labda Zero IQ na GuDume 😁
  9. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Nchi ina Mahakimu wapuuzi, Wajinga walokoswa Hekima na Busara. Unamfungaje Mtu Miaka 30 Jela, kisa Bangi Gramu 56?

    Oya hii stori hatununui, kaokote waporipori. Hakuna mraibu wa bangi wa namna hiyo
  10. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

    Nyie oktoba 29 mliukana rasmi Utanzania, kwasasa hamna chenu lolote baya liwakute
  11. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Hii ya leo kali sana sana

    Hawa majamaa weupe sana, namna alivyokalishwa hapo kwa mtu yoyote mwenye ujuzi kidogo tu wa martial arts anapindua meza 😁 Hawa viumbe washukuru tu oktoba ziliwaokoa risasi
  12. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Serikali kutaka kuhamisha watu Temeke ili kupisha Bandari Kavu ni ukatili wa kiwango cha juu. Hii Serikali ni ya Kijamaa kweli?

    Nakubaliana na wazo la kuhamisha wananchi wa wilaya ya Temeke kupisha maendeleo lakini hii ishu ya bandari kavu kuwepo mjini sioni kama ina tija zaidi ya kuongeza foleni tu mjini. Serikali ilitakiwa kupanua barabara ya Dar-Mbeya angalau kwa njia 4 pamoja na kupeleka SGR Tunduma, ingeweza...
  13. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Walitaka Kummaliza Mwigulu akiwa Ulaya

    Hayo ndio malipo ya usaliti, hawakuamini waliokutumia huku wananchi ndio kabisa hawataki kukusikia. Binafsi kwa mzaha aliofanya baada ya mauaji ya Oktoba 29 huyu mtu hastahili kuishi
  14. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Odemba hayuko analytical kama Khalifa wa The Chanzo

    Huyu Odemba sio poa, wamoto sana kiasi kwamba kuna mccm mmoja alishawahi chimba hakutokea kwenye kipindi. Hiyo siku nilimuonea huruma sana mshkaji alimwaga chozi live. Kwasasa muacheni tu atambe, alipofika hajafika kwa bahati mbaya, safari yake umekuwa na changamoto nyingi lakini ujasiri ndio...
  15. Mbeya One

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa Makamu Rais Mstaafu Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi Yuko Salama, Hajazuiliwa, Hajashikiliwa ni Ameamua Kutulia, Kunyamaza!

    We ni "sell out" hupaswi kuaminika. Punguza unafiki Pasco umri umeshaenda, moyo wako hauna hatia kabisa kwa haya unayofanya? Hukuridhika kwa Kabendera?
Back
Top Bottom