Recent content by Mbeya One

  1. Mbeya One

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Morocco, Upanga, Masaki, Msasani kunavutia ila ghorofa za Kariakoo na Ilala ni vichekesho
  2. Mbeya One

    Kuna Maudhui Mengine kwenye Social Media yanapaswa kuzuiwa Tanzania

    Sahihi mkuu, mzee anatumia lugha nyepesi kama Messi na guu lake la kushoto akiwa na mpira, wasipoelewa hapa watakuja kuelewa vizazi vyao vikijakuathiriwa na haya yanayojadiliwa.
  3. Mbeya One

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hili De gea nungayembe tulitoe kwa mkopo Hannover 96 [emoji23][emoji23][emoji23]... Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mbeya One

    Mlango wa ajabu katika jumba la ibada ambao hakuna mtu aliyefanikiwa kuufngua

    Haziwezi kuisha kwasabu wapuuzi kama wewe mnachangia
  5. Mbeya One

    Uzi wa kuandika maneno yenye busara kwa kuanzia na "Nimejifunza ya kwamba....."

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] magu baba legeza kidogo
  6. Mbeya One

    Mbeya haiendani na mahitaji yangu kimapenzi

    We basi Mbeya unayokaa sio ya Tz, [emoji23][emoji23][emoji23] katika wasafwa hamsini, weupe hawazid watano
  7. Mbeya One

    Jinsi Wanawake wa mjini wanavyoishi maisha mazuri na huku hana kazi

    Inaonyesha na wewe ni mhanga wa hiyo meseji[emoji2]
  8. Mbeya One

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Shukrani, Huyu kiumbe anatupa shida sana mashabiki wake kwasabu si mtu wa mitandao sana
  9. Mbeya One

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Hivi lee min ho hana project yoyote ya miaka hii ya karibuni?, manake nilisikia ataachia mzigo 2k19 ni kweli au?
  10. Mbeya One

    Mtazamo wa ligi ya uingereza kuelekea msimu wa 2018/19

    Hujakosea kabisa huo ndo uzi wao mpya
  11. Mbeya One

    Mtazamo wa ligi ya uingereza kuelekea msimu wa 2018/19

    Washa moto faza chambua mpaka wolves
  12. Mbeya One

    Mtazamo wa ligi ya uingereza kuelekea msimu wa 2018/19

    Kwa hii comment inaonyesha dhahiri shahili unatokea mtaa wa unyumbuni
  13. Mbeya One

    USHAURI : Nimempa mimba mwanafunzi

    Bahati nzuri mzazi wake kashapitia huu uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  14. Mbeya One

    Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

    anabet kwa Mhindi na masela ambao wasio na vision wala mission wenye ngeu za kutosha usoni, wakiwa vifua wazi vitovu vikubwa kama lile lisehemu la kutafutia stesheni kwenye redio Mbao za zamani...
Back
Top Bottom