Sahihi mkuu, mzee anatumia lugha nyepesi kama Messi na guu lake la kushoto akiwa na mpira, wasipoelewa hapa watakuja kuelewa vizazi vyao vikijakuathiriwa na haya yanayojadiliwa.
anabet kwa Mhindi na masela ambao wasio na vision wala mission wenye ngeu za kutosha usoni, wakiwa vifua wazi vitovu vikubwa kama lile lisehemu la kutafutia stesheni kwenye redio Mbao za zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.