Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,291
- 95,608
Kama malaria no mo tu kipindi kile mpk wakasuruhishwa na Ruge, waziri wa habari akiwa nchimbiSugu anakuaga mbele ya muda, ILa watu wanamzunguka
Kama malaria no mo tu kipindi kile mpk wakasuruhishwa na Ruge, waziri wa habari akiwa nchimbiSugu anakuaga mbele ya muda, ILa watu wanamzunguka
Wewe unatuharibia uzi na hii inadhihirisha huna unachokijua kwenye industry!Wewe choko kumbe hujielewi
Unakunyakunya uharo tu mothefucker
Wewe si ndio umesema alikuwa gate man sasa ndo kazi gani hiyo
Guluguja wee
Clouds walimpa shavu ia show yake pale msasani club ili kuzima anti virus, mwisho wa show lawama Kwa Wana Block 41 waliojitoa siku hy pale msasani clubMshamba ni KalaPina anayelazimika kufuata uelekeo wa upepo kama Bendera. Kuna wakati alikuwa anajinasbiisha na akina Ruge "clouds tv". Mwishowe si walimtosa!
Hiyo ndio ilikua maskani yetu kipindi hiyo, kitambo sana hy"Indianapolis" kwenye ile ngoma ya Sugu feat. Dolla Soulz "Sema Nao" wameipaisha hiyo maskani. Watu wametoka mbali na hii game Aisee! 1997/1998 ngoma hiyo. Daah!
Mie wakuja ila kalapina maskani,tukiwa tunafanya hip hop enzi hizo yeye anatulia, Maskani anatusikiliza, Indianapolis,Block 41, Maskani kwa Bango, software copy ya FL na Cube base nimewapa mwenyewe na wakuja wanguSasa swali gani unaniuliza we wakuja?
Hoja ni kuwa Sugu kamtaja kwenye mistari yake,hilo la ushamba au sio mshamba mm halinihusu
Yeye Kalapina aliwahi kudhulumiwa na Sugu kitu gani mpaka aingilie huu mchongo!? Kama unajua tujulishe jukwaani hapa. By the way wewe si ndio umedai Sugu anamkubali mwanae Kalapina mpaka anampaisha _paisha kwenye ngoma zake! Kwa nini asingewaachia hao unaodai walidhulumiwa na Sugu kama unavyodai watapike nyongo!?Halafu huyo Sugu wenu ndiyo mjue naye ana matatizo.
kwenye hiyo dili ya malaria aliunda Anti Virus project halafu alivyovuta mpunga kwa kina Ruge akawazunguka wenzake kimyakimya
Naye snitch tu kama nyinyi
Moms boy unarukia na kudandia vitu usivyovijuwa, Ruge ampe nini Sugu?Halafu huyo Sugu wenu ndiyo mjue naye ana matatizo.
kwenye hiyo dili ya malaria aliunda Anti Virus project halafu alivyovuta mpunga kwa kina Ruge akawazunguka wenzake kimyakimya
Naye snitch tu kama nyinyi
Tatizo sio show, vipi we upo tayari hapo kkoo mtu aje afungue biashara kwa jina lako na anauza unachouza?Kwa muziki wa bongo ulivyo na njaa kali za wasanii wetu Sugu angewaacha wenzio wapige hizo show za Chaka to Chaka tu..!!
Kuna wasanii ukiwaona wanatia huruma walivyopigika. Hizo show huenda zikawapunguzia ukali wa maisha..!!
Sugu sikiliza, hao wasanii ni sehemu ya industry ya entertainment na hakuna aliyetumia jina la Sugu..!!Tatizo sio show, vipi we upo tayari hapo kkoo mtu aje afungue biashara kwa jina lako na anauza unachouza?
Nakujibu kwa kirefu, twende taratibu utanielewa. Kwanza huwez kusema unawajua artists weng wa hip hop bongo na usiijue 'Mstari wa mbele' kama huijui basi maana yake huwajui artists wengi wa hip hop kama ulivyodai. Mstari wa mbele ilipishana miezi michache kutoka na 'Fid Q.com ya Fid Q hivyo top 10 miaka hiyo zilikuwa zinashindanishwa kama hardcore rap pekee za bongo. Twende kwenye hoja Yako sasa... Kuwa fan wa kitu haimaanishi lazma uzingatie namba au huyo artist awe ameachieve ktu fulani, mambo hayaendi hivyo. Kuna nyimbo Zina namba kubwa sana huko digital platforms lakini nikikutajia amini itakuwa ndio first time kuiskia sabab sio shabiki. Mwaka 2012 kule USA kuna wimbo ulitoka ambao hauna verse hata moja ila una kionjo tu na sehem kubwa ya wimbo inapiga beats tu. Huo wimbo ulitengeneza challenge nyingi san za kuucheza. Wimbo uliitwa "Harlem shake" kutoka kwa jamaa anaitwa Baauer. Huu wimbo mauzo yake yalihit double platnum worldwide, je wewe mzingatia 'numbers' umewahi kuujua huo wimbo be honest! Nina uhakika 100% hujawah kuuskia popote. Kwanini? Ni kwa sabab kuujua wimbo mkali haimaanishi lazma uwe hit, 'Nini dhambi kwa mwenye dhiki' by Faza Nelly(RIP) haukuwa hit ila ndio wimbo wa kwanza wa hip hop bongo kufikisha views milioni moja mwaka 2013 kule YouTube, wewe huujui huo wimbo lakin una hiyo record ya kipekee na wale fans OG tunaujua ila wewe fan feki huujui. Ukiweka top 100 ya hip hop bongo amini Kuna Mcs kibao wakali watakosa kuingia hiyo chart sio Pina peke ake, Prof Jay pekee ataingiza Ngoma kama 10, Sugu 10, Fid 5 labda, Afande 5, Nature 5, FA 5, AY 5 labda pia, Roma 5. Kwa kifupi top 100 itaishia kizazi Cha pili na cha tatu cha hip hop ya bongo, je kizaz kilichofata hakuna hits? Weka top 200 Kalapina hatakosa humo ndani. Hujui Mstari wa mbele, wewe sio hip hop bro no offense.What do you mean unaposema fan? What has he achieved? Numbers zake zikoje kwenye digital platforms? Ana hit song yoyote ambayo leo nikiwasha channels za TZ iwe TV au Radio kwamba randomly nitaisikia?
Let me be honest, nyimbo(hip hop) za TZ na artists wa hip hop wa TZ nawafahamu sana lakini hapo hizo zote ulizozitaja za huyo Kala Pina hakuna hata mmoja ninaoufahamu, huyo huwa anasikika kwenye matukio tu tena ni kwenye matukio yenye controversies peke yake.
Weka challenge hapa fungua uzi watu waorodheshe all time top 100 hip hop hits za Kibongo tuone ni wangapi wataweka tracks za huyo Kala Pina.
hivi hiyo block 41 inayoitwa indiana ilikuwa wapi ?Katika watu enzi zile maskani Block 41,
Sasa mnapata elimu kwa missninformation?Wewe unatuharibia uzi na hii inadhihirisha huna unachokijua kwenye industry!
Uzi ulikuwa unashuka vizuri watu tunapata elimu lakini wewe kwa kushindwa kwako kutambua kwamba hauwezi ukajua kila kitu kuna ambavyo unavijua na kuna ambavyo huvijui unaishia kutukana hovyo kwa kukosa hoja.
Hata kalapina na ushamba wake,Sugu kamtag kwenye nyimbo zake akakuacha weweMie wakuja ila kalapina maskani,tukiwa tunafanya hip hop enzi hizo yeye anatulia, Maskani anatusikiliza, Indianapolis,Block 41, Maskani kwa Bango, software copy ya FL na Cube base nimewapa mwenyewe na wakuja wangu
Kalapina kaingiliaje mchongo?Yeye Kalapina aliwahi kudhulumiwa na Sugu kitu gani mpaka aingilie huu mchongo!? Kama unajua tujulishe jukwaani hapa. By the way wewe si ndio umedai Sugu anamkubali mwanae Kalapina mpaka anampaisha _paisha kwenye ngoma zake! Kwa nini asingewaachia hao unaodai walidhulumiwa na Sugu kama unavyodai watapike nyongo!?
Au Sugu hamkubali tena "mwanae" Kalapina!?
With all due respect nimekupa challenge, fungua uzi watu waweke all time big TZ hip hop hits ziwe top ten au top twenty au whatever numbers that suits you tuone hizo za huyo Kala Pina zata rank wapi if at all zitakuwepo kwenye orodha.Nakujibu kwa kirefu, twende taratibu utanielewa. Kwanza huwez kusema unawajua artists weng wa hip hop bongo na usiijue 'Mstari wa mbele' kama huijui basi maana yake huwajui artists wengi wa hip hop kama ulivyodai. Mstari wa mbele ilipishana miezi michache kutoka na 'Fid Q.com ya Fid Q hivyo top 10 miaka hiyo zilikuwa zinashindanishwa kama hardcore rap pekee za bongo. Twende kwenye hoja Yako sasa... Kuwa fan wa kitu haimaanishi lazma uzingatie namba au huyo artist awe ameachieve ktu fulani, mambo hayaendi hivyo. Kuna nyimbo Zina namba kubwa sana huko digital platforms lakini nikikutajia amini itakuwa ndio first time kuiskia sabab sio shabiki. Mwaka 2012 kule USA kuna wimbo ulitoka ambao hauna verse hata moja ila una kionjo tu na sehem kubwa ya wimbo inapiga beats tu. Huo wimbo ulitengeneza challenge nyingi san za kuucheza. Wimbo uliitwa "Harlem shake" kutoka kwa jamaa anaitwa Baauer. Huu wimbo mauzo yake yalihit double platnum worldwide, je wewe mzingatia 'numbers' umewahi kuujua huo wimbo be honest! Nina uhakika 100% hujawah kuuskia popote. Kwanini? Ni kwa sabab kuujua wimbo mkali haimaanishi lazma uwe hit, 'Nini dhambi kwa mwenye dhiki' by Faza Nelly(RIP) haukuwa hit ila ndio wimbo wa kwanza wa hip hop bongo kufikisha views milioni moja mwaka 2013 kule YouTube, wewe huujui huo wimbo lakin una hiyo record ya kipekee na wale fans OG tunaujua ila wewe fan feki huujui. Ukiweka top 100 ya hip hop bongo amini Kuna Mcs kibao wakali watakosa kuingia hiyo chart sio Pina peke ake, Prof Jay pekee ataingiza Ngoma kama 10, Sugu 10, Fid 5 labda, Afande 5, Nature 5, FA 5, AY 5 labda pia, Roma 5. Kwa kifupi top 100 itaishia kizazi Cha pili na cha tatu cha hip hop ya bongo, je kizaz kilichofata hakuna hits? Weka top 200 Kalapina hatakosa humo ndani. Hujui Mstari wa mbele, wewe sio hip hop bro no offense.
Case closedWith all due respect nimekupa challenge, fungua uzi watu waweke all time big TZ hip hop hits ziwe top ten au top twenty au whatever numbers that suits you tuone hizo za huyo Kala Pina zata rank wapi if at all zitakuwepo kwenye orodha.
Najua hits za hip hop(rap) tangu enzi za Run DMC, KRS One, Kool Moe Dee mpaka enzi wanaingia the then Prince of Rap LL Cool J mpaka hivi vizazi vyenu Gen Z.
Kibongobongo kabla ya kina Sugu kuingia game enzi za kina Kibacha, Pompidou(Pompi) na wengineo so it's obvious any hit napaswa kuifahamu. Pamoja na kuwa niliondoka TZ decades ago lakini with music you don't necessarily need to be physically on the ground to know what's poppin'.
Kala Pina aendelee na kelele za kulazimisha attention lakini kwenye hip hop literally he has never done anything tangible.