Nabii Koko
Kalapina anasema watu wawaache wasanii wakongwe wale pensheni zao na michongo mingine ya kuwaingizia pesa sababu wamesota sana na huu muziki.
Kupitia page yake Kalapina ameandika 👇
"Acheni tule pensheni kidogo huu mziki tumesota nao mno na kama kuna kiumbe ananuna maniga kupata mchongo. Huyo atakuwa mwiba huyo".
Kalapina ni kiongozi wa Kikosi cha mizinga na mwanaharakati matumizi wa dawa za kulevya kwa vijana anajulikana zaidi kwa style y
View attachment 3645212ake hii ya kuziba jicho moja.
#EastAfricaTV #TogetherTunawakilisha.
Credi : East Africa TV Facebook Page