wanauhimu sana wanadiaspora watatusaidia hata kutupa habari jinsi mafisadi yanavyochakachua pesa za wananchi yanapokwenda ng'ambo."SOMETHING IS BETTER THAN NOTHING"
huyu jamaa anafunikwa na gamba nini?he is full of non sense.mabomu na risasi n kwa ajili ya vita na wala si kwa ajili ya kuzima nguvu ya umma,nguvu ya uma haaushindwi na mabomu yanayoweza kujilipuka muda wowote.
huyu mama sioni kazi aliyoifanya ikaonekana tangu ateuliwe UN,ikitokea kapewa nchi si dhani kama nchi itafika mbali kutakuwa hakuna jipya zaidi ya kuwa na mawaziri wote wa kike na wanaume tanzania tutalipiwa mahali 2kitaka kuoa.
acha mama sharobaro...milionea apige bata na kibabu junio,ila siku zao zinahesabika,wakiona tunaanza kujichoma moto karibia na magogoni pale watakiona labda waende kwa kicameroon wakiwa na mafuta laini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.