Rev. Damasus Mkenda
Member
- Dec 22, 2011
- 67
- 27
Na RTC ziko wapi ndugu zangu?? Nakumbuka tulikuwa tunaenda viwanda vya serikali (Mashirika ya Umma au SU) kwenye ziara za kishule, tulienda Magunia Moshi, General Tyre Arusha, Kilimanjaro Machine Tools, TPC, Mtibwa Sugar Estates (nilifanyia field yangu hapa) nk, viko wapi??