Sikumsikia kabisa Arumeru East. Je alikuwa na makamanda wetu katika kampeni za udiwani? Wakati tunafurahia ushindi bado kuna mambo muhimu ya kujiuliza ili kuimarisha Vuguvugu hili la Mabadiliko! Najua kuna watu mnaweza kutupa ufafanuzi wa hili
Yupo katika kukiimarisha kile chama chao kipya,mbona tulisha mtosa longtime huyo bwana mipasho...." chadema hatutaki wanafiki waongo,mamluki na yeyote atakaekwenda tofauti na misingi na kanuni za chama.tukikubaliana hapana tunakua tunamaanisha hivyo wote,ukileta zako za kuleta tunakupa chafu wala hatukusubiri kukupotezea muda na wala wewe kutupotezea muda.angalia selasini yuko wapi nae,alileta mambo yake ya k.i.s.e....ge tukamuweka pending .chadema tuna inteligensia ya ukweli na uhakika,sio ya kinafiki kama magamba.ukileta zako hatukukopeshi wala kukuchelewesha.chadema alwayz is people power.bora ukimwi kuliko chadema na shibuda.
Chama chenye nguvu hakiwezi kabisa kuhangaika wala kutikishwa na mtu mmoja tu, hususan hawa wanaijiunga kwa kuimarisha 'nguvu ya umma'. Ukiona mtu mmoja anakisumbua sana chama ujue chama hicho hakiko imara
Shibuda ni mtalii tu Chadema , muda ukifika itabidi arudi alikotoka kwani sidhani kama atahitajika tena chadema pengine yeye na aliyemleta waanzishe chama chao na wote wagombee urais!!
Uzuri ni kuwa sasa amegundua kuwa kila Mtanzania anajua kuwa ni tycoon wa siasa. CDM haiigiliki ovyo kama ambavyo NCCR ilivyoingiliwa na vibaraka! Lile lilikuwa somo tosha sana kwa vyama vya siasa! Shibuda ni kibaraka wa kuogopwa kama ukoma! Good enough Watanzania wamemjua na mikelele yake ya mipasho ya ufitini
ni bora SHIBUDA ambaye alikuwa kimya kuliko ZITTO KABWE ambaye alikuwa busy na uraisi 2015 ili kuvuruga attention za uchaguzi ARUMERU ,hawa wote ni hatari mbaya zaidi ni huyo ZITTO ambaye ana cheo kibwa ndani ya chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.