..wamevuna mahindi kwasababu nadhani kitendo kile ndicho kilichopelekea kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya.
..hata kutoka bungeni wakati wa mjadala wa mswada wa katiba nadhani walifanya vizuri. Raisi asipowasiliza CDM na NCCR anaweza kusababisha katiba mpya ikaonekana ni katiba ya CCM badala ya Watanzania wote bila kujali itikadi zao.
..hata kutoka bungeni wakati wa mjadala wa mswada wa katiba nadhani walifanya vizuri. Raisi asipowasiliza CDM na NCCR anaweza kusababisha katiba mpya ikaonekana ni katiba ya CCM badala ya Watanzania wote bila kujali itikadi zao.