MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
acheni kutafsiri hoja hii kinyume na fikra za Nape, yeye kaongelea chama na wewe unaleta habari zako za kilokole na kumuhusisha mungu moja kwa moja na siasa, maana ya Nape ni hakuna Tanzania bila ya CCM na ndio umilele wenyewe. Pia swala la kilio cha watanzania hilo labda bado unalo wewe sisi wengine tunatumia mfumo huu wa maneno "SEE -JUDGE -ACT" na hatuna muda wa kulia eeh mungu tusaidie bali tuna muda wa kueneza sera na kushawishi wananchi juu ya mabadiliko wanayohitaji yanaweza kupatikana kupitia kwa viongozi machachali wasiojali kingine ila maslahi ya umma.
Neno milele huwezi kulitenganisha na dini, na katika vitabu vyote vitakatifu limeongelewa sana hilo.
Nape kalitoa huko huko kwa walokole.
Nape, zilikuwepo dola imara sana kama ya warumi, leo hata chembe ya nguvu yake haipo.
Ushauri kwako kama mkristo mwenzio, unapofanya hizi propaganda za kidunia, usihusishe utani wako na Mungu!
Yeye si mwanadamu hata aweze kutaniwa!!