Kama maajabu fulani iv,binadamu katika kizazi cha nyoka kula pipi na ganda almost 7years....
Mwingine angeshakimbia kitambo hata ndoa isingefungwa.
HONGERA SANA.
Tumechoka kusikia wahanga wa mafuriko,ondoken kazi zenyewe zinazowaweka mjini hamna,nyumba mlalamike,,sehem za biashara mkitozwa ushuru mnakimbia kimbia kukwepe ushuru kwa kisingizio mitaji yenu midogo.RUDINI VIJIJIN MJINI SHULE.
Kwa staili hii sidhan km utafanikwa,kwa ushaur piga deal na watu wa halmashaur unayotaka kuhamia upate nafas,ikipatikana nafas sbb ya kuhama hua hazikosekani.
Au unachat na wanaume wenzio,humu watu wana id kibao,wengine wanadiriki hata act kama wao ni me/ke kuwa makini.
Si bora ivo hakutokea je mamen wangekugeuzia kibao ungerudi hata humu?
Ila polee...
Uraisi,ni taasisi na wala si mtu binafsi km tunavyodhani.Jakaya alikuwa muazimiaji mzur ila watekelezaji wake wakamuangusha nae akawa na huruma kupita kiasi.Magufuli nae mfuatiliaji lkn alionao sidhan km jahaz litafika salama km ser zake alivokua akizinadi?Baraza tu kashinikizwa kuweka hata...
Km una mda wakutosha nyumbani tengeneza mafuta ya nazi mwenyewe.Nunua nazi hata ya tatu kubwa zikune kisha chemsha na moto mdogo mdogo usitie maj mafuta yatatoka chuja weka kwenye chupa uwe unampaka akioga asubuhi na jion,sabuni muoshee ya kawaida,hakumw ulazima wa kumpaka poda sbb zingune...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.