ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,360
- Thread starter
- #41
Mkuu Kwa Hii Riwaya Yako, Kuna Kitu Kinaendelea Si Bure
mkuu kwanza samahani kwa jina nililokuita kule mahali fulani... Ni kweli kuna kitu kinaendelea nimempata Shemeji Yako lakini nasumbuliwa na hasira na kukosa hamu ya tendo la ndoa.. Unaweza saidia katika hili