Jana tulikuwa tunabishana na ww mie nikasema ngoja mie nasubili repot ya CAG TU ndio nijue kweli SAMIA ANASABABU YA KUMWAMINI TENA AU NI TRASH TU
ONA SSA AIBU KUBWA YUPO TU HANA SAUTI NA HAWEZ KUSEMA ANACHEKELEA TU
Mkuuu hakuna kujificha kwenye kichaka eti majeruhi hapana Chelsea ina wachezaji wa bovu sana kuna wakati naona hata poche ni mwalimu mzuri tu ila wachezaji ndio wa hovyo sana tena sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.