Tunazalisha na kuuza virgin coconut oil kwa jumla na rejareja kwa bei nafuu hadi Tsh 25,000 kwa lita.
Virgin coconut oil ni mafuta mwari ya nazi ambayo hayajachemshwa wala kuchanganya na kemikali yoyote.
Unaweza kutumia kunywa, kupikia, na for skin and hair care. Karibu DM, text or whatsupp...
Katika kujikinga na ugonjwa wa corona ngazi ya familia,
Ni wajibu wetu sote kuzilinda familia zetu hasa kwa family member walio na umri mkubwa kuanzia miaka 60+, 7bu hawa ndio wapo katika risk zaidi ya kupata madhara makubwa endapo watapata maambukizi.
haya ni mapendekezo katika level ya...
Kwa vyakula: unga wa sembe, ngano, mchele, tambi/spagheti, dagaa wakavu, maziwa ya unga, magimbi, maharage na kunde.
Chochote katika hivyo unaweza kununua kwa wingi 7bu vinaweza kukaa zaidi ya mwezi bila kuharibika.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.