Recent content by mass64

  1. M

    Je, wewe ni msambazaji wa bidhaa mbalimbali? Karibu tufanye biashara

    Tunazalisha na kuuza virgin coconut oil kwa jumla na rejareja kwa bei nafuu hadi Tsh 25,000 kwa lita. Virgin coconut oil ni mafuta mwari ya nazi ambayo hayajachemshwa wala kuchanganya na kemikali yoyote. Unaweza kutumia kunywa, kupikia, na for skin and hair care. Karibu DM, text or whatsupp...
  2. M

    Mnipe mishe za kuingiza kipato Morogoro

    Ukiwawahi msimu wa mavuno ambapo wakulima wameshauza mazao ndio biashara za aina hii zinaleta tija zaidi.
  3. M

    Business parter kanikimbia/kayeyuka

    Binafsi mi changamoto yangu tuliyekubaliana ahudumie shamba ndie alitoweka bila kunipa taarifa, kwahiyo akaacha mazao na shamba peke yake.
  4. M

    Tax Manager at Total Tanzania

    Thanks for information.
  5. M

    Wazamiaji wa miaka ya 90

    Hahaha mkuu hongera.
  6. M

    Mapendekezo jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa Corona ngazi ya Familia

    Katika kujikinga na ugonjwa wa corona ngazi ya familia, Ni wajibu wetu sote kuzilinda familia zetu hasa kwa family member walio na umri mkubwa kuanzia miaka 60+, 7bu hawa ndio wapo katika risk zaidi ya kupata madhara makubwa endapo watapata maambukizi. haya ni mapendekezo katika level ya...
  7. M

    Msaada: Vyakula vya kutunza wakati wa majanga

    Kwa vyakula: unga wa sembe, ngano, mchele, tambi/spagheti, dagaa wakavu, maziwa ya unga, magimbi, maharage na kunde. Chochote katika hivyo unaweza kununua kwa wingi 7bu vinaweza kukaa zaidi ya mwezi bila kuharibika. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Siku 350 bila punyeto wala picha za ngono

    Great man. Zidisha uchamungu utazidi kufanikiwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Nina milioni 45, nifanye biashara ipi kati ya hizi?

    Nimecheka sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

    Thanks for the information. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom