Kilosaone
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 407
- 216
Mbona nikitaka kutumia app inaniambia use original sim card.wakati ndio line ninayotumia? Nmb naomba msaada au niitoe app yenu?
View attachment 1472241
View attachment 1472241
Habari, mm naomba muongozo WA kufungua akaunt nmb ,nipo buguruni rozan dar ,lkn Kitambulisho cha uraiya bado kupata.naomba kama inawezekana nijibiwe mp
Sent using Jamii Forums mobile app
WNmb ilikuwa Kati ya Benki zenye utendaji uliowapendeza wateja wengi lakini siku hizi inatiwa kasoro na baadhi ya wafanyakazi wasiozingatia maadili ya kazi yao!
Nimekuwa mteja wa nmb kwa zaidi ya miaka 25 na mshahara wangu umekuwa ukipita hapo kwa miaka yote hii.
Pia nilikuwa na mikopo ambayo niliilipa August mwaka jana. Cha ajabu Sasa ni kuwa kila nikiprocess mkopo wa mshahara wangu mashine zao zinanirudishia majibu kuwa nadaiwa na ama mshahara wangu haupiti nmb kitu ambacho sio kweli!
Nimwaandikia email za kutosha na hata nimefika kwa branch manager wa magomeni lakini amekuwa akiahidi tu kuwa nenda Kisha jaribu baada ya saa 24 utapata! Mtindo umekuwa ni hvi Hadi Sasa na nimekata tamaa.
Suluhu ya Jambo hili haijulikani kwangu kwani Kama nadaiwa mbona hawakati kwenye mshahara wangu unaopitia kwenu?
Au nmb inachagua na kubagua wateja wa kuwapa huduma hata Kama wanakidhi vigezo?
Niliahirisha suala la kuhamishia mshahara wangu kwenye Benki nyingine na bado natafakari Kama nipo sahihi au la!
Wahusika, mtakimbiza wateja kwa utendaji wenu huu kwani nikikopa nalipa ili nanyi muweza kusustain!
Ni sababu gani inafanya mteja asafiri hadi mkoa alikofungulia akaunti?Ni kwamba wanakukata 20 kwa sababu ya kukusafirishia kadi yako.
Mfano kama umefungulia A/C yako DSM na baadae ukahamia mkoani na kadi yako inapo expire unatakiwa ukachukulie kadi yako tawi ulilofungulia A/C yako na endapo utarakiwa kuletewa mkoani hapo ndio wanakukata hyo20
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni usumbufu mkubwa sana! Mwisho wasipokuwa makini wateja wataikimbia hii bank!Card yangu ilimezwa ijumaa asubuhi nikiwa katia harakati za kutoa pesa nikalipe ada ya mtoto pale Nmb Ubungo
wale wahudu wawili pale mhuduma kwa mteja walijitahidi kunisaidia kuifutilia card yangu kule ndani bila mafanikio huwezi amnini sikupewa ile card mpaka nimeondoka pale saa tisa jioni bila mafanikio.
Nawauliza shida ni nini?wanajibu Kule atm sijui kwa ndani haruhusiwi kuingia mtu mmoja...hivyo mmoja wapo aliyepaswa kuingia yupo bize sana huwezi kusaidiwa.
Nilikasirika nikamwambia yule mama aliyenijibu kuwa nwenzangu yupo bize nyie wabaya sana nikaondoka bila kuhudumiwa
NBC ndivyo wanavyofanya, kadi ikiisha tawi lolote unapewa kadi mpya, NMB Mnakwama wapi?Kadi inapoisha muda wake, mteja apewe/atengenezewe kadi kwenye tawi lolote sehemu alipo kwa wakati huo.
Sio kuelekeza mteja aende mkoa alikofungulia akaunti au kudai alipie pesa kadi iletwe, huo ni usumbufu mkubwa kwa mteja.
Ni kutothamini wateja! Kadi imeisha muda haijapotea, kwanini mnidai tena pesa kupata kadi mpya?