Recent content by masopakyindi1

  1. M

    Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

    Habari wanajamvi, nahitaji thermostat za incubator nitazipata wapi? naomba yeyote anayefahamu zinakopatikana anijulishe. Pia nahitaji na Digital thermometer kwa ajiri ya kudhibiti joto ktk incubator.
  2. M

    Arusha haikulengwa dini...

    we ---- nini unasema waislamu hawana shida na wakristo??? au na wewe ni kibandiko nini? matukio yote ya maandamano, cd za uchochezi za kupinga ukristo, ugawaji wa madaraka wa udini, uchomaji wa makanisa, mauaji ya mapadri, matusi na kejeli za redio imani dhidi ya ukristo, mgawanyo wa wajumbe wa...
  3. M

    Udsm inakuwaje tena na kipengele cha dini

    wewe ni mdini tu kibandiko mkubwa!!!!
  4. M

    PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    jamani hivi kweli Tanzania tumefikia hapo? siamini macho yangu utadhani tupo Iraq!!!! ni unafiki mkubwa kwa viongozi wetu wanaodai tanzania ni kisima cha amani. hivi amani ipo kweli hapa? au tunajidanganya tu! Rais kikwete please naomba uchukue hatua dhidi ya hao askari ambao wanachukua sheria...
  5. M

    Jimbo la Mtera limeingiliwa, eti huyu ni Diwani kwenye Jimbo hilo!!

    KWELI CCM NI CHAMA FEKI YAANI KWELI KILIMTEUA HUYU MWENDAWAZIMU KUGOMBEA UDIWANI!!!!!!!!! NA KAMA HAITOSHI HATA HUYO LUSINDE MWENYEWE NI BOLIZOZO TU. NAFIKIRI HATA WANANCHI WA MTERA WANAHITAJI KUPIMWA AKILI ZAO KWA KUWAPIGIA KURA WENDAWAZIMU! [QU OTE=Matola;3754258]Mhe.Abdallah Nundu Ali...
  6. M

    Warangi wana Sifa Gani..?

    Wanajua kutumbana vizuri
  7. M

    Anne Kilango Malecela awa bubu ghafla

    HUYO MAMA NI MNAFIKI TU NA KUANZIA LEO SIMSHOBOKEHI TENA!!!!!!:A S angry:
  8. M

    Waraka wa wazi kwa mh. Raisi dr. Jakaya mrisho kikwete - kutoka udom

    Hivi huyu jakaya kwa nini anamkumbatia huyo mlacha me nadhani suala hili lipelekwe bungeni kama la mawaziri lilivyo
  9. M

    Maandamano ya nchi nzima

    Mimi ntakuwa wa kwanza kuandamana!!!!!
  10. M

    Nape Nnauye anaumwa? CCM inapukutika nchi nzima

    NAKUONEA HURUMA Dr. KUPENG'E HIVI KIJANA MZIMA HUONI HATA AIBU KUWA CCM. MI NADHANI UNA MASLAHI YAKO BINAFSI, ACHA HICHO CHAMA KIFE. VIJANA WOTE WAJANJA WAPO CDM SO NAKUKARIBISHA NAWE MLANGO UPO WAZI HUJACHELEWA.
  11. M

    Tigo ideos for sale!

    Wewe acha usenge humu ndani sio sehemu ya kutangazia biashara ni sehemu ya kutoa hoja na fikra zilizopevuka ili tuweze kulikomboa taifa letu. Ukitaka kutangaza biashara yako nenda facebook. Common usije ukarudia tena maana ntakuporomoshea mvua ya matusi. Koma kabisaaa!
  12. M

    CCM kutosimamisha mgombea Arusha Mjini

    Wakithubutu tu kusimamisha mgombea prestige yao itakufa kabisaaaa si kushuka tu bora wawaachie cdm wachukue kiulaini jimbo lao!!!
  13. M

    Mhe. Nimrod Mkono asaini kumwondoa waziri Mkuu!

    Big up babu!!!!!!!!!!!!!1
  14. M

    Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu

    Huyo nundu kashindwa kazi lazima ajiuzulu kwanza hajui hata kupanga hoja. Jk inabidi awe makini sana kuchagua wasaidizi wake adha wise ataonekana pia hafai kutokana na wasaidizi wake kumuangusha.
Back
Top Bottom