M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,089
CCM wakisoma/kusikia hivi wanatamani aridhi ipasuke
Cha muhimu kuliko vyote ni kulinda kura zetu kwa hali na mali bila kujali outcome mbaya ambayo inaweza kutupata kwa kulinda kura zetu zisiporwe na mafisadi wa CCM
Pameanza kuchimbika Radio one wamesema hadi viongozi wa mitaa na mabalozi wa nyumba kumi wamehamia Chadema!Ukoo wa Panya wazidi kupukutika
duh! tumuulize Lizaboni
uuuuuhhhhh...kimenukaaaa Kahama...madiwani wote wa CCM waenda CHADEMA...itv news
Naye kajitapa eti Lowassa siyo size yake, ngoja yatamtokea puani. Ajabu eti Magufuli anajitapa kwa Lowassa!Makufuli muda wowote nguo za kijani zitamdondoka mzee wa watu, maana aibu hii kaangushiwa na mashemeji mtu✌️✌✌