masopakyindi1
Member
- Apr 1, 2012
- 29
- 1
Mimi ntakuwa wa kwanza kuandamana!!!!!
habari wana jf
kama kesho kutakuwa hakuna mabadiliko yoyote ktk baraza la mawaziri ,wanainchi tutumie haki yetu kikatiba kuandamana kushinikiza mabadiliko.