Mtu Bingwa Kabisa
Member
- Apr 4, 2012
- 6
- 3
- Thread starter
- #21
@Enkokromi, lugha ya mawasiliano kwenye ofisi zote za Serikali ni Kiingereza na Kiswahili. Hiyo ya Mwenyekiti kwa kuwa ni ya kikazi zaidi na ni ya ndani, na pia ni ya kisheria zaidi, tuliamua tuandike hivyo, ila ingeweweza kuandikwa hata kiswahili.
Hiyo ya Mh. Raisi, kwa sababu ni ya wazi na lengo ni Jamii ielewe uozo huu, ili tutakapofanya maamuzi magumu watuelewe. Hawa watoto watakosa mtihani, chuo kitafungwa. kwa hiyo ni lazima kuweka rekodi sahihi. Pamoja na yote ukweli unabaki kuwa ukweli..
Pia ikumbukwe walimu hawajawahi kumuunga mkono mtu yoyote sisi ni liberals. wale walikuwa wanafunzi. lakini kwa serikali ya namna hii hatuna sababu ya kuiunga mkono hata kidogo.:disapointed:
Hiyo ya Mh. Raisi, kwa sababu ni ya wazi na lengo ni Jamii ielewe uozo huu, ili tutakapofanya maamuzi magumu watuelewe. Hawa watoto watakosa mtihani, chuo kitafungwa. kwa hiyo ni lazima kuweka rekodi sahihi. Pamoja na yote ukweli unabaki kuwa ukweli..
Pia ikumbukwe walimu hawajawahi kumuunga mkono mtu yoyote sisi ni liberals. wale walikuwa wanafunzi. lakini kwa serikali ya namna hii hatuna sababu ya kuiunga mkono hata kidogo.:disapointed: