Arusha haikulengwa dini...

Arusha haikulengwa dini...

Status
Not open for further replies.
Na wewe ni mbulula mwingine....tangu lini mkristu akalipua kanisa lake mwenyewe? Walipuaji ni waislamu na lazima tuseme na tukemee kwa sauti kubwa! Shindwa!!!!!!
Joseph Kibwetere,.Fr.Kataribabo,hawa na wenzake wengine waliwalipuwa waumini wao kanisani wapatao elfu moja huko uganda,au hujui habari hiyo!
 
Ni upuuzi na upotoshaji mkubwa kudhani "imani" haikulengwa. Kwanini bomu halikurushwa soko kuu Arusha au stendi kuu?

Ni upuuzi na upotoshaji mkubwa kusema kuwa Wakatoliki/ Wakristo hatuna ADUI, tunao tena ni wengi. Wa kwanza ni SHETANI (lucifer) na wa pili ni yeyote yule mpinga Kristo (ANTICHRIST) na mwingine yeyote anayeweza kuwa na malengo kama hayo.

Ni upuuzi na upotoshaji mkubwa kutohusisha maumivu kwa Wakatoliki/ Wakristo na chuki za kiimani. Huu siyo uhalifu wa kawaida, ni chuki za kidini hata kama ni "fallacy" afterall we live in the world of fallacies.

Ni upuuzi na upotoshaji mkubwa kukataa kuyahusisha haya matukio na mambo ya IMANI, walianza na makongamano na mihadhara, badae wakachoma makanisa kule mbagala, wakampiga na kumjeruhi Rev. Fr Ambrose kule Zenji, wakamuua kwa risasi Fr Mushi (RIP) kana kwamba haitoshi wakamchinja mchungaji kule Geita, vikaja vitisho kibao kwa Wakristo.

Haya na mengine mengi kwanini tusiyahusishe na chuki? Kisheria na Kiintelligensia, mtu akikutwa AMEUAWA daima wanatress wa mwisho KURUMBANA au KUGOMBANA naye, ambaye atakuwa GUILT until proven INNOCENT.

Ni upuuzi na upotoshaji kuleta propaganda za ajabu ajabu katika mambo ya msingi. Kwangu meme, haya yote ni chuki za kidini tu!
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...
Very poor reasoning!

Kwani aliyerusha bomu lile hakujua kuwa ule ni mkusanyiko wa watu wa dini fulani tu?

Kwa vyovyote lengo lilikuwa kuua wahudhuriaji wa tukio, ambao ni wakatoliki.
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...
Inawezekana uko right, lakini ujue hata sisi watu wa dini za jadi tuna maadui, kumbe huwezi kwepa kuwa na maadui unapozungumzia mambo ya dini.La maana ukimjua adui yako basi utajua jinsi ya kumkabili. Kumbe lolote lawezekana, adui mkubwa ni shetani na anaweza akajionyesha katika sura ya binadamu.
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...
Mkuu, upo sahihi. Ingawa, inauma hasa kwa waliopatwa na madhara na wakati huohuo wakiamini kuwa huu ni mwendelezo wa uchomaji wa nyumba za kuabudia na mauaji ya watumishi wa Mungu. Nadhani hatuna lugha nzuri wa waliopatwa na madhara haya. sidhani kama kuna jinsi unavyoweza kugeuza fikra za wananchi kwa bomu lililolenga kanisa na wakati huohuo kukiwa na balozi wa papa, ambaye kama angeuwawa, sasa hivi ingekuwa sherehe kubwa kwa waliopanga kutekeleza unyama huu. Nadhani ni busara zaidi kunyamaza kuliko kujaribu kueleza maelezo ambayo hayawezi kuingia akilini mwa wenye hasira. Kwa mtazamo wangu, Serikali ya chama chetu, inazidi kupoteza wapiga kura wa 2015, hasa kwa kushindwa kudhibiti kadhia hii. "There is no palatable language at death"
 
Ugaidi uwe kanisani tu, mi nashauri hata kikwete achunguzwe because naona anayalealea sana haya mambo na kutuma vibaraka wake kuwaambia wakristo wasubiri uchunguzi wakati wakiendelea kushambuliwa. Shehe ilonga vipi na ile ishu ya ukikuta padri, askofu, mchungaji..... Ua. Tusiendelee kudanganyana hapa - i do not understand why kikwete happened to be a president of tanzania.
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

Hujaeleweka bado! vuta pumzi kwanza ......................... ukitoka chooni uje utueleze ulikuwa unamaanisha nini
 
heeeeeeeee kumbe VICTOR AMBROSS na JOSEPH haya ni waislamu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! duh
 
Nadhani nikikuita mbu mbu mbu, pengine mbu ni nafuu bora nikuite nzi nzi nzi.
Waliolipua bomu ni waislamu na walilenga kumuua balozi wa baba mtakatifu, askofu mkuu Padilla. wameshindwa, lakini damu ya wakatoliki imemwagika na hata sasa majeruhi wanaugulia maumivu makali hospitali. Tutaacha kufungamanisha dini siku bunge likilipuliwa......sio kanisa

Haya waambie basi Polisi wawakamate Waislamu kwani si wanajulikana walipo? nenda Misikitini utawakuta huko kuna haja gani basi ya kuomba msaada wa FBI kama wewe unawajua hao Waislamu basi nenda Kituoni wajulishe tu Polisi! lakini cha kushangaza mpaka sasa hivi ni Mkiristo mmoja anaeitwa Ambrosi Victor Calisi (20) ambae ni dereva wa bodaboda mkazi wa kwa Mrombo, Arusha ndie aliekamatwa kwa kurusha bomu kanisani na kuuwa! kwani utaamini basi? wewe kila muuaji ni Muislamu! hayo ndio mafunzo yenu!
 
SHAMBULIO LA ARUSHA NI LA KIDINI. WAMESHAMBULIWA WATU WA DINI, WASHAMBULIAJI NIA YAO ILIKUWA KUUA NA KUDHURU, WALISHASEMA WATAUA WAKRISTO. KWA HIYO WAKATOLOKI WAKISHAMBULIWA KWA MTINDO HUO HUO NI MWENDELEZO WA PADRI ALIYEPIGWa risasi na kujeruhiwa na kisha akauawa mwingine makanisa yakachomwa na haya tunayaona, Magaidi wa al shabaab wako kazini.
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...

walilenga nini sasa? acha unafiki wewe buchani kunapatikana nyama sio mchicha
 
Machi 17;2000 saa 3:00 asubuhi ni siku ambayo haitasahaulika kwa wananchi wa Uganda.
Haitasahaulika kutokana na mauaji ya kutisha ya maelfu ya waumini wa dhehebu moja lililojulikana kwa jina la Movement Restoration ten Commandments,lilikowa likiongozwa na Askofu Joseph Kibwetere.
Waumini hao waliuawa kinyama na Askofu huo na washirika wake .
Waumini hao waliuawa kwa kufungiwa ndani ya kanisa na kisha kuchomwa moto.
Katka tukio hilo waumini wapatao 500 waliteketezwa na moto.Huyu Kibwetere alikuwa mkatoliki .
Huyu muuaji ulimjua, huyu wa arusha nani anamjua atuambie
 
kweli kabisa...kama ambavyo YESU KRISTU alivyowaagiza WAFUASI wake WASILIPE KISASI...bali wamwachie MUNGU KISASI iwe hivyo kwa uweza wa ROHO MTAKATIFU. MUNGU WA KISASI yeye ajibu maombi hayo. WAKRISTU pigeni magoti na mlilieni MUNGU wenu....yeye NDIYE ANAYESTAHILI KULIPA KISASI.....

NB: FBI watatusaidia kuwatia hatiani wahusika kwa kuwa cd zimetapakaa...ambazo zinaonesha nani anasema nini...kwa nini....na kadharika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!maana CD hizi zilikuwepo tangu miaka 50 ilipotimia kwa nchi ya TZ....
 
FBI ndilo jibu pekee la kumfunga paka kengele!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ROHO MTAKATIFU INGILIE KATI NCHI YA TANZANIA. UWAFICHUE WOTE WALIOPO NYUMA YA MPANGO WA MAUAJI YA WATU WAKO WASIO NA HATIA.....
MUNGU ANAONA HATA YALIYOSIRINI...ATAWAUMBUA MMOJA BAADA YA MWINGINE....
 
Ni upotoshaji mkubwa kuanzia kudhani kuwa shambulio la Arusha lililenga ukristo au ukatoliki. Tukianzia hapo tutapotoshwa na kuchochewa. Wakatoliki,kama wanadhehebu,hatuna adui. Makosa ya jinai hayahitaji dini wala dhehebu. Uchunguzi uwe huru bila kufungamanisha dini yoyote. Wasakwe wahusika si dini wala udini...
Hata mimi naamini sio vizuri kufikia conclusion bila kuwa na ushahidi, lakini na wewe pia ni zuzu! Kama uchunguzi bado unaenedelea unawezaje kusema pasi na shaka kuwa eti shambulio halikulenga ukristo au ukatoliki!
 
Vihelehere

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Akili ya mbayuwayu changanya na yako....time will tell kila kitu kitakuwa wazi suala la kuomba ni uzima kwa waliojeruhiwa na amani ya milele kwa waliotangulia mbele ya haki
 
ACHENI uchochezi, mwawezaliingiza taifa ktk janga kubwa, Waislam hawana shida na wakristo. acheni uchunguzi ukamilike ndo muongee. kwani yaweza bainika kuwa wakristo haohao ndo wahusika. uchunguzi wa awali umeonyesha muhusika ni mkiristo AMBROSE. NA ukifuatilia maelezo yote toka mwanzo unaona niyakupika ambayo hayaeleweki,. mara mshambuliaji alivaa kanzu akapita kwa nyuma akarusha kwa mkono wa kulia akakimbia huku anaita mwizi mwizi., mara alikuwa ktk pikipki akarusha na kukimbia ,. mara walikuwa ktk gari, mara watu walimuona mrushaji mara mtoto ndiye alimuona. AU VIPI MSHAMBULIAJI AVAE KANZU NDIO AENDE KTK TUKIO LA KUDHURU ? BAdo inatia shaka kama mshambuliaji ambrosi alirusha akakimbia kwa kusema mwizimwizi kisha akarudi tena watu baadae wamepata fahamu ndo wakamkamata ?:fish2::A S confused::A S confused: akili changanya na zako

we ---- nini unasema waislamu hawana shida na wakristo??? au na wewe ni kibandiko nini? matukio yote ya maandamano, cd za uchochezi za kupinga ukristo, ugawaji wa madaraka wa udini, uchomaji wa makanisa, mauaji ya mapadri, matusi na kejeli za redio imani dhidi ya ukristo, mgawanyo wa wajumbe wa tume ya katiba. hivyo vyote havitoshi kutoa ushahidi wa chuki za waislamu kwa wakristo? usikurupuke ndugu yangu! nchi hii si ya dini na kamwe waislamu hawawezi kuifanya nchi hii kuwa yao!!!! hicho wanachokifanya ni mikwara ya mende kuangusha kabati tu:angry:.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom