Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Nashukuru umenipa mwanga mkubwa sana mkuu kuhusu incubators, nilikuwa mtupu kabisa, ila sasa mbona kama inaniogopesha tena, hasa hizo breakdown zikitokea madhara yake ni hasara kubwa sana daah!
 
Wanajamvi jamani hamjambo? Mi nina swali la kuuliza kuhusu hizi incubators ya kwamba zinalipiwa kodi TRA au zimesamehewa? jamani mwenye uelewa wa hili naomba anifahamishe. Asanteni.
 
Sikia we ulietoa mada mi nakusaidia bure kama utapenda maelekezo zaidi utanitafuta 0767002400/0782183441
Mahitaji
Joto 37-38 centigrade
Hewa 4000,000 mililita kwa saa
Unyevu
Mayai 30

Mashine rahisi box moja la maji ya kilimanjaro makubwa
Procedure: Toboa tundu la round linalotosha kupitisha sarafu ya tsh 200 pande tatu za nox lako. matundu haya yataweza kuingiza hewa mililita 4000000 kwa saa.

- chukua taa ya chemli na uiwashe na uweke upande mrefu mmoja ulio na tundu

- chukua maji kwenye bakuli dogo lijae robotatu na uliweke karibu kabisa na taa inayowaka maji haya yatasaidia kusambaza unyevu

- nunua thermometer utoboe box lako na uiweke sehemu unayoweza kuiona kisha ziba na karatasi ya nyilon ama chupa ili kuweza kuona ndani

- weka saw dust (maranda) na upange mayai yako kwenye upande wa urefu ambao haukutobolewa yasiwe jirani kabisa na taa kwa maana uweke taa mbali na mayai.

- funika box lako vizuri kisha liweke sehemu ya mwanga wa wastani. mpaka hapo incubator yako ipo tayari kagua incubator yako kila baada ya masaa8, kwa kugeuza mayai, na kuangalia kiwango cha joto lililopo kwenye incubator.

na tumai utakuwa umepata uzoefu bure . mimi nimelipia laki moja hii semina na nitakuelekeza mambo megi tu
 
Asante mie nilisoma maelezo haya ila nilijua ni box la mbao linazungushwa na pamba kuzuia joto lisitoke. Pia mchanga na sio maranda. Ajabu wanaotengeneza local wana bei ghali kuliko za umeme na automatic. Nami sijakata tamaa hadi nitengeneze ya kupeleka shambani kusikokuwa na umeme.
Sikia we ulietoa mada mi nakusaidia bure kama utapenda maelekezo zaidi utanitafuta 0767002400/0782183441
Mahitaji
> Joto 37-38 centigrade
> Hewa 4000,000 mililita kwa saa
> Unyevu
> Mayai 30

Mashine rahisi box moja la maji ya kilimanjaro makubwa
Procedure: Toboa tundu la round linalotosha kupitisha sarafu ya tsh 200 pande tatu za nox lako. matundu haya yataweza kuingiza hewa mililita 4000000 kwa saa.
- chukua taa ya chemli na uiwashe na uweke upande mrefu mmoja ulio na tundu
- chukua maji kwenye bakuli dogo lijae robotatu na uliweke karibu kabisa na taa inayowaka maji haya yatasaidia kusambaza unyevu
- nunua thermometer utoboe box lako na uiweke sehemu unayoweza kuiona kisha ziba na karatasi ya nyilon ama chupa ili kuweza kuona ndani
- weka saw dust (maranda) na upange mayai yako kwenye upande wa urefu ambao haukutobolewa yasiwe jirani kabisa na taa kwa maana uweke taa mbali na mayai.
- funika box lako vizuri kisha liweke sehemu ya mwanga wa wastani. mpaka hapo incubator yako ipo tayari kagua incubator yako kila baada ya masaa8, kwa kugeuza mayai, na kuangalia kiwango cha joto lililopo kwenye incubator.
na tumai utakuwa umepata uzoefu bure . mimi nimelipia laki moja hii semina na nitakuelekeza mambo megi tu
 
Kuna incubator za kisasa automatic setting ya temperature na humidity, zatotolesha mayai 48, zatumia umeme watts 80 na kwa siku 19-20 wapata vifaranga. Bei ni sh laki nne (400,000) piga 0783503864.
 
Sikia we ulietoa mada mi nakusaidia bure kama utapenda maelekezo zaidi utanitafuta 0767002400/0782183441
Mahitaji
> Joto 37-38 centigrade
> Hewa 4000,000 mililita kwa saa
> Unyevu
> Mayai 30

Mashine rahisi box moja la maji ya kilimanjaro makubwa
Procedure: Toboa tundu la round linalotosha kupitisha sarafu ya tsh 200 pande tatu za nox lako. matundu haya yataweza kuingiza hewa mililita 4000000 kwa saa.
- chukua taa ya chemli na uiwashe na uweke upande mrefu mmoja ulio na tundu
- chukua maji kwenye bakuli dogo lijae robotatu na uliweke karibu kabisa na taa inayowaka maji haya yatasaidia kusambaza unyevu
- nunua thermometer utoboe box lako na uiweke sehemu unayoweza kuiona kisha ziba na karatasi ya nyilon ama chupa ili kuweza kuona ndani
- weka saw dust (maranda) na upange mayai yako kwenye upande wa urefu ambao haukutobolewa yasiwe jirani kabisa na taa kwa maana uweke taa mbali na mayai.
- funika box lako vizuri kisha liweke sehemu ya mwanga wa wastani. mpaka hapo incubator yako ipo tayari kagua incubator yako kila baada ya masaa8, kwa kugeuza mayai, na kuangalia kiwango cha joto lililopo kwenye incubator.
na tumai utakuwa umepata uzoefu bure . mimi nimelipia laki moja hii semina na nitakuelekeza mambo megi tu

Mkuu sijaelewa vizuri, Hayo maranda unayaweka ndani ya box?
2)Hilo box la maji la Kilimanjaro ndani yake hizo chupa unazitoa au unaziacha!
3)Hilo bakuli la maji linakua juu ya box?
4)Napenda kujua zaidi mkuu.
 
Ndugu yangu, mtaji ukikua unaweza kupata Imported Incubator (ambayo ni sophisticated) yenye uwezo wa kutotoa mayai 1000+ inaweza kupatikana kwa takribani TZS 1,850,000.00. Ziko very automated. Ukihitaji baadaye basi unaweza kuwasiliana name kwenye 0754 787 775 au 0655 787 775.
 
Naihitaji incubator ya mayai kuanzia mayai mia (100) iwe home made au imported, bei iwe ya mwananchi wa
kawaida sio ya waheshimiwa.mwenye nayo aweke contact zake niweze kuwasiliana nae kwa maelekezo zaidi.
 
Habari ndugu zangu! Hizi ni sample za catalogue za vitu tajwa hapo juu, nimejaribu kuweka baadhi ya hizo mashine hapa! Kwa maswali, maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi!
Karibu sana

Justine Emanuel
Purchasing Director
M:86-13524159707 T:86-21-58995915 F:86-21-58995915
Room 1106,No.35,Rijing Rd,Pudong,Shanghai China



0
 

Attachments

  • all egg incubator.xls
    498.5 KB · Views: 182
  • CD Duplicator.xls
    325.5 KB · Views: 123
  • TO JUSTINE YB-688K automatic granule packing machine.xls
    1.2 MB · Views: 95
  • car washer quotation(Bigy).xls
    4.2 MB · Views: 128
Habar jf natamani kujua kuhusu incubator inayobeba mayai 50 add 60. Hv hzi mashine huchukua mda gani ama masaa mangapi kutotolesha mayai. Na je? Kuna mayai maarum ya kutotolesha ama mayai yoyote hutotoleshwa
 
msaada jamani
Incubator inatumia siku 21 kama kuku tu. Kuhusu mayai sio kila yai linafaa kuwekwa kwenye incubator, yai linatakiwa liwe limetoka kwa kuku aliyekuwa na jogoo yaani limerutubishwa. Pia inashauriwa yai lisiwe limekaa zaidi ya wiki 2 tangu litagwe. Wataalamu zaidi wataeleza.
 
Habari wanajamvi, nahitaji thermostat za incubator nitazipata wapi? naomba yeyote anayefahamu zinakopatikana anijulishe. Pia nahitaji na Digital thermometer kwa ajiri ya kudhibiti joto ktk incubator.
 
Automatic temperature and humidity control .... naweza kukuunganisha nilipo nunua china wanauza parts zote za. incubator Bei poa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom