Anaishika shika pete labda kidole kinamwasha hua zikiingia sabuni zinawasha na wewe kwa muda huo unajuaje kama anashika shika pete au unamwangalia kama kavaa pete?
Jamani wasikate tamaa wamtumainie sana Mungu pia wasimame katika maombi. Nimeshuhudia ndoa kama 3 watu kama hao wakisali na kusimama na Mungu aliwafanikisha mtoto wa kiume. wanafanikiwa kabisa Mungu awape hitaji la Moyo wao
Hongera sana kijana pia yupo yule wa darajani nadhani afande Moses nae yupo makini mchapakazi kwa kweli wanajitahid saana wanastahili hongera zao kwa kazi nzuri san
Kweli kabisa mkuu maisha yenyewe hatujui kesho hakuna kitu kizuri kama ndugu kuishi kwa amani na kupendana kueshimiana na kuombana msahaha pale tunapowakosea wengine. Hongera sana Ray C.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.