Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,512
- 70,315
Nilichoambulia ni coca cola media basi kwingine naona chenga tuHii code wala sio ngumu yaani nashukuru nimeshaing'amua hahahha.Basi sawa.
Nilichoambulia ni coca cola media basi kwingine naona chenga tuHii code wala sio ngumu yaani nashukuru nimeshaing'amua hahahha.Basi sawa.
tehBabie kabae
ohooo rudia tena kusoma uzi vizur unganisha dots mbona kibaby kenye mwanya kimeshajulikana hahahah..mapenz yanarun dunia.Mugabe altaka kuonga nchi kisa haya mapenzi lol.Nilichoambulia ni coca cola media basi kwingine naona chenga tu
ohooo rudia tena kusoma uzi vizur unganisha dots mbona kibaby kenye mwanya kimeshajulikana hahahah..mapenz yanarun dunia.Mugabe altaka kuonga nchi kisa haya mapenzi lol.
hahahahah umenichekesha haswaaaSiwezi kuelewa maana sio mfatiliaji wa izo mambo.
Ila kwakweli nyie wanawake nyie mna laana. Yule Grace kamkimbia babu wa watu baada ya makabidhiano ya nchi kukwama
kunawakati huwa nawaona wanaovaa magwanda kama wanatumiwa vibaya, hasa wakitumika kulipiza kisasiMbunye haijawahi kumuacha mtu salama. Music Mwisho Saa 6, baada ya hapo police kazi kwao
sasa yule si shangazi yakeLabda baby madaha.
Mia 900 itapendeza.....Kwa mbaaaliiii nakuelewa, ila Ngoja nirudie Mara ya 21 huenda nikaelewa kwa ukaribu zaid
Lipia basihahahahah umenichekesha haswaaa
Bado nina mashaka na huyo mrembo mwenye mwanya?? Yaani yule ndio asababishe balaa lote hilo....!!!Nimekupata sana mkuu
Mbabe wa town-anayekusanya hela kwenye daladala.
Mzee wa Dubai- mashine ya kuproduce unga
Kiongozi wa njiapanda ya coca cola media- mzee wa fursa
Mr VIP- Mzee wa nyumba nyeupe
Mrembo mwanya-anatangaza kipindi cha asubuh hapo njia panda ya coca cola media
Nadhani nimewasaidia hadi hapo
Leo vichwa vitawaka moto kutegua hili fumbo. Tunapata kijimwanga then 2napotea tena gizani.Pole sana Mkuu.
Mimi nimetegeka