Na mimi pia nipo dar naitaji kama 30 kiongozi ila utajuaje mijogoo na mitetea?Unasafirishiwa kwa magari ya Magazeti
Na mimi pia nipo dar naitaji kama 30 kiongozi ila utajuaje mijogoo na mitetea?Unasafirishiwa kwa magari ya Magazeti
wapo, ila hela yako tu kiongozi.duh,kuku wa kienyeji anazidi kupotea tu!duh
Mkuu inachukua muda gani toka naweka order mpaka kuwapata?Unasafirishiwa kwa magari ya Magazeti
Anapatkana sehemu gani mwanzaMwanza kuna mtu anaefuga hawa KARI??