Na kit kngne madereva nao n Pasua kichwa unamtimzia kila kit lakn anakufanyia uhuni Mara auze tair mpya anunue mbovu njia nzma miyeyusho then inakuingza kwenye gharama zsizo na ulazma
Ushaur mwingne wa bure ukiwa unaingia kwenye usifocus sana mwanzon kupata faida kubwa mfano yan ustake kujilingansha bei na wale wazoefu na wakongwe mwenye biashara ambao wao washajtengenezea hazna ya Wateja mfano umenunua mzgo kw 10000@ na Bei ya kwenda kuuza n 17000@kama wanavofanya wengi bas...
Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavojieleza.
Mimi nataka kuingia mwenye biashara ya vitenge niwe nafata mzigo Kariakoo then naenda kuuza mikoani. Kwa ambaye anauzoefu kuhusu biashara anambie challenges za hii biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.